Joakemie

Member
Joined
Sep 16, 2022
Posts
64
Reaction score
57
1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road)

2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara

3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road) ukubwa wa eneo sqm 800 Bei million 130. (maongezi yapo)

0715053339 watsap kwa picha na maelezo zaidi call 0719236829

 
1 .kiwanja kipo goba mbezi (kulangwa) ukubwa sqm 400 (hakipo mbali na barabara kuu ya lami) milion 17 maongezi yapo ni flat

2 kiwanja kipo goba (umbali na barabara ya lami ni Dak 10 /15 ukubwa sqm 1000 Bei ML 57 maongezi yapo wakuu

3. Nyumba ya vyumba 6 ipi Mbezi beach goigi kutokea bagamoyo road Hadi nyumba ilipo ni dk 10 kwa kutembea ukubwa wa eneo sqm 810 Bei million 130 maongezi Kama kawaida yetu wa Tanzania yapo.

0715053339/0719236829.

 
nauliza kwanini Mbagala ardhi yake haina thamani?
 
nauliza kwanini Mbagala ardhi yake haina thamani?
Chanika, Chamanzi usipasahau , najiulizaga sana kwann unakuta nyumba finished inauzwa 13M ina aluminium na bati , shimo la choo, wengine hadi umeme washaweka,,
 
Kiwanja Bei ya Asubuhi!

Kipo Boko chama ukubwa Ni sqm 400 Bei 4milion na kingine sqm 500 Bei 4.5milion vimepimwa,maji na umeme vipo na pameshajengeka

Contact 0715053339
 
Haya jaman tupo kazini!

Hotel ya kisasa inauzwa, vyumba 37self contain, vyote vina AC, balcony,TV ,full furnished ukubwa wa eneo sqm 1400 Imepimwa na inahati miliki, jirani kabisa na Morogoro road Bei ML 950
Watsap/call 0715053339
0719236829 call

 
Nyumba ya kisasa namaanisha ya kisasa inauzwa ipo kunduchi dsm,inavyumba 5 vyote master,sebule 2 juu na chini,ukubwa wa kiwanja sqm 1200 inafloor 4ikiwemo top roof,terrace yenye sea view,bustan nzuri na packing kubwa .Bei USD 500,000
Contact 0715053339

 
Nyumba inauzwa mbezi beach kituo goigi umbali Ni dk 5 kwa miguu tokea nyumba ilipo Hadi Bagamoyo road. Ukubwa wa eneo Ni sqm 810 Bei ni Ml 120(maongezi yapo)
Contact 0715053339/0719236829.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…