- Thread starter
- #21
Ni ulewa mdogo ulinao mkuu...Kuna watu hawajui vituo vya daladala coz hawatumii daladala ! So relaxUnataka ukanunue nyumba ya mil 120 kwa daladala? Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ulewa mdogo ulinao mkuu...Kuna watu hawajui vituo vya daladala coz hawatumii daladala ! So relaxUnataka ukanunue nyumba ya mil 120 kwa daladala? Duuh
Hivi hizo Bei mnazitoleaga wa
Ukacheze unapochezaga🙃Hivi hizo Bei mnazitoleaga wapi?
Sawa bosMkuu mbona picha umepiga Kama unakimbizwa piga angle zote za nyumba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]sembuse aweka na bei ya migomba na miti ya minaziHivi hizo Bei mnazitoleaga wapi?
Akili yangu iko mbele ya wakati, tutusa kama wewe huwezi kujuwa msingi wa swali langu ni nini.Unataka ukanunue nyumba ya mil 120 kwa daladala? Duuh
Madalali hao Dar hawalali keshaona fursa anaenda kuiona atafute wenye nazoUnataka ukanunue nyumba ya mil 120 kwa daladala? Duuh
Watu wakisema tz yote ni squatter wanaonekana wanakashifu 😆kumbe hizo ndo nyumba za mbezibeach upepo unapovuma!
Tatizo nini?Unataka ukanunue nyumba ya mil 120 kwa daladala? Duuh
Location na square meter ndio zina rate bei, unaweza ukawa unanunuwa kiwanja tu na siyo nyumba, unategemea location, ndio utaona mtu ananunuwa nyumba anaibomowa anajenga mjengo wake wakati kuna sehemu vipo viwanja vya bei ya chini.Hivi hizo Bei mnazitoleaga wapi?
Ngoja nikuitie mtani wanguAkili yangu iko mbele ya wakati, tutusa kama wewe huwezi kujuwa msingi wa swali langu ni nini.
Bora uulize. Kuna mtu anauza nyumba goba milioni 250 ni ya chini, ndogo sqm sijui elfu moja hata elfu 2 hazifiki. Jamani hiyo hela si unanunua kiwanja na unajenga ghorofa la kukutosha tu. Au madalaliHivi hizo Bei mnazitoleaga wapi?
Mimi ni Mtaalam wa Real Estate.Madalali hao Dar hawalali keshaona fursa anaenda kuiona atafute wenye nazo
Sawa ila sio goigi.Location na square meter ndio zina rate bei, unaweza ukawa unanunuwa kiwanja tu na siyo nyumba, unategemea location, ndio utaona mtu ananunuwa nyumba anaibomowa anajenga mjengo wake wakati kuna sehemu vipo viwanja vya bei ya chini.
Ok.Mimi ni Mtaalam wa Real Estate.
Mbezi beach kuna East upande wa bahari na west ukivuka Bagamoyo road, imetenganishwa hivyo, au kuna barabara ya old Bagamoyo kupitia kawe beach huko ndiko upepo unakovuma na wala hakuna route ya Daladala njia hiyo ya mbezi chini, kina Jack Ghotham wapo huko, hata Wasafi studio zipo huko.kumbe hizo ndo nyumba za mbezibeach upepo unapovuma!