Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam
Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia
0715053339/0719236829
Bznes zako huweki picha kwa nini? Tuanzie hapo
 
Hii Hotel inauzwa ipo kigamboni finished rooms 54 na unfinished rooms ni 74 ukubwa wa eneo Ni heka 13 price Ni $ 7million Negotiable

Call/watsap 0715053339/0719236829

Screenshot_20221005-190459_1.jpg
Screenshot_20221005-190446_1.jpg
Screenshot_20221005-190454_1.jpg
Screenshot_20221005-190513_2.jpg
Screenshot_20221005-190440_1.jpg
Screenshot_20221005-190459.png
 
Kwanini mkuu??
Pana utapeli wa kutupwa, kwa mbali naiona Kigamboni nako kunaibukia kwa kasi. Tena kuwa makini na viwanja cha kupimwa kwa miguu ni hatari.

Viwanja vya utapeli mtu usipokuwa makini unaweza kufilisikia hapo.

Ukinunua kiwanja ukakuta kina mgogoro na hamna proper documents, achana nacho mapema undelete na shughuli nyingine kwa kuhesabu umepoteza.

Juhudi zozote za kukiokoa ni kutupa shilingi baharini bila matokeo yoyote.
 
Pana utapeli wa kutupa, kwa mbali naiona kigamboni nako kunaibukia kwa kasi. Tena kuwa makini na viwanja cha kupimwa kwa miguu ni hatari.
JF kunawatu wa viatu! We ni kiatu
Yan tangazo langu na utapeli unavihusisha vp!! Kuwa na ustaarabu bas!!
 
JF kunawatu wa viatu! We ni kiatu
Yan tangazo langu na utapeli unavihusisha vp!! Kua na ustaarabu bas!!
Kuna mahala nimesema unafanya utapeli? Reply yako inatia wasiwasi sana juu ya unachokifanya.

Kwa nini unajisikia insecure kama unafanya biashara halali?
 
JF kunawatu wa viatu! We ni kiatu
Yan tangazo langu na utapeli unavihusisha vp!! Kua na ustaarabu bas!!
Tatizo unaweka taarifa ambazo hazija jitosheleza, halafu unataka uaminiwe kirahisi tu; huku ukitumia fake ID! Hela inauma mkurugenzi! Weka maelezo yaliyo jitosheleza. Namba ya simu pekee haitoshi.

Maana hata wale matapeli wa "tuma ile hela kwenye namba hii" huweka namba zao za simu, na mtu anapigwa kama kawaida.
 
Tatizo unaweka taarifa ambazo hazija jitosheleza, halafu unataka uaminiwe kirahisi tu; huku ukitumia fake ID! Hela inauma mkurugenzi! Weka maelezo yaliyo jitosheleza. Namba ya simu pekee haitoshi.

Maana hata wale matapeli wa "tuma ile hela kwenye namba hii" huweka namba zao za simu, na mtu anapigwa kama kawaida.
Fake ID🙃🙃😅
Unavyoandika kwa jazba Sasa lol!
 
Kuna mahala nimesema unafanya utapeli? Reply yako inatia wasiwasi sana juu ya unachokifanya.

Kwa nn unajisikia insecure kama unafanya biashara halali?
JF kunawatu wa viatu! We ni kiatu
Yan tangazo langu na utapeli unavihusisha vp!! Kua na ustaarabu bas!!
Pana utapeli wa kutupwa, kwa mbali naiona kigamboni nako kunaibukia kwa kasi. Tena kuwa makini na viwanja cha kupimwa kwa miguu ni hatari.

Viwanja vya utapeli mtu usipokuwa makini unaweza kufilisikia hapo.
Kuna mahala nimesema unafanya utapeli? Reply yako inatia wasiwasi sana juu ya unachokifanya.

Kwa nn unajisikia insecure kama unafanya biashara halali?
Napoteza carolize zangu kujibizana na wewe! Haya umeshinda!

Ukinunua kiwanja ukakuta kina mgogoro na hamna proper documents, achana nacho mapema undelete na shughuli nyingine kwa kuhesabu umepoteza. Juhudi zozote za kukiokoa ni kutupa shilingi baharini bila matokeo yoyote.
 
Back
Top Bottom