Pana utapeli wa kutupwa, kwa mbali naiona kigamboni nako kunaibukia kwa kasi. Tena kuwa makini na viwanja cha kupimwa kwa miguu ni hatari.
Viwanja vya utapeli mtu usipokuwa makini unaweza kufilisikia hapo.
Kuna mahala nimesema unafanya utapeli? Reply yako inatia wasiwasi sana juu ya unachokifanya.
Kwa nn unajisikia insecure kama unafanya biashara halali?
Napoteza carolize zangu kujibizana na wewe! Haya umeshinda!
Ukinunua kiwanja ukakuta kina mgogoro na hamna proper documents, achana nacho mapema undelete na shughuli nyingine kwa kuhesabu umepoteza. Juhudi zozote za kukiokoa ni kutupa shilingi baharini bila matokeo yoyote.