Nyumba inapangishwa mbezi JUU karibu na Masana hospitali (barabarani kabisa) inavyumba 4 vya kulala vyumba 3 Ni master, jiko, sebule, dinning, publick toilet. Inafence na parking ya gari 3/4 Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama office n.k Bei 700,000 (negociatable)
Contact 0715053339/0719236829
Kiwanja sqm 810 kinauzwa na Banda lake la vyumba vi3 (Kama ionekanavyo pichani) kipo mbezi JUU/Tanki bovu karibu na Masana hospitali Bei Mln 80 (maongezi yapo)
Wakuu anauza lether sofa seti watu3, 2 na 1 (zimetumika miezi 4 Ila bado ziko poa kabisa) Bei laki 4 na nusu zote
TV Aboda nnchi 32 Bei laki 3 na nusu
Fridge Bei laki 2
Kingamuzi complite DSTV elfu 60,000
Vipo Mbezi Goba kwa Sanya
Contact 0715053339/0719236829
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.