Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam
90M/800 = 110 per sqm? Duh.Umepafanyia Valuation?
 
Nyumba inapangishwa Mbezi JUU karibu na Masana hospitali.Ipo barabarani kabisa

Ipo ndani ya fence,inavyumba 4 vi3 master,publick toilet,sebule,dinning,uwanja unapaki gari 3/4 Bei laki 7 kwa mwezi (maongezi yapo)

Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama offic n.k
Contact 0715053339
IMG_20221007_092006_810.jpg
 
Nyumba inapangishwa mbezi JUU karibu na Masana hospitali (barabarani kabisa) inavyumba 4 vya kulala vyumba 3 Ni master, jiko, sebule, dinning, publick toilet. Inafence na parking ya gari 3/4 Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama office n.k Bei 700,000 (negociatable)
Contact 0715053339/0719236829

Kuoneshwa bure

IMG_20221007_092006_810.jpg
 
Hata kama barabarani ndo kodi iwe mil 10 kwa mwezi?
 
Kiwanja sqm 810 kinauzwa na Banda lake la vyumba vi3 (Kama ionekanavyo pichani) kipo mbezi JUU/Tanki bovu karibu na Masana hospitali Bei Mln 80 (maongezi yapo)

Contact 0715053339/0719236829

IMG_20221007_090544_442.jpg
IMG_20221007_090558_892.jpg
IMG_20221007_090319_94.jpg
IMG_20221007_091420_171.jpg
IMG_20221007_091432_895.jpg
 
Haya wakuu msiseme sijasema!

Nyumba ya kisasa inauzwa tsh 160M (negociatable) ipo mbezi Luguluni (karibu na stand ya magufuli) kilomita 1 toka lami.

Inavyumba vitatu vyote master, sebule kubwa, dinning, jiko la ndani na la nnje,inasevant cota yenye chumba master, ukubwa wa eneo SQM 500.

Nnavyumba nyingi maeneo tofauti na Bei tofauti karibu watsap kwa machaguzi na picha zaidi

Contact watsap0715053339/call0682865155

Wakuu nawasilisha.

FB_IMG_1666338258949.jpg
FB_IMG_1666338228975.jpg
FB_IMG_1666338238325.jpg
FB_IMG_1666338244561.jpg
FB_IMG_1666338241670.jpg
FB_IMG_1666338247354.jpg
 
Nadhani unatania.

Hiyo Nyumba ukipata sana na Hizo sqm ni milion 50-60 tena hapo umempata mgeni wa Dar au Mgeni wa nyumba
 
Wakuu anauza lether sofa seti watu3, 2 na 1 (zimetumika miezi 4 Ila bado ziko poa kabisa) Bei laki 4 na nusu zote
TV Aboda nnchi 32 Bei laki 3 na nusu
Fridge Bei laki 2
Kingamuzi complite DSTV elfu 60,000
Vipo Mbezi Goba kwa Sanya
Contact 0715053339/0719236829

IMG_20221025_175452_974.jpg
IMG_20221025_174023_267.jpg
IMG_20221025_172050_750.jpg
IMG_20221025_173643_640.jpg
IMG_20221025_173251_873.jpg
IMG_20221025_173430_202.jpg
IMG_20221025_174235_146.jpg
 
Viwanja vi 3 tofati vipo Mbezi goba Center/ ama waeza shukia kwa awadhi umbali Ni dk 3/5kwa boda na kwa mguu pia panatembeleka

1. Kipo Mwema Street ukubwa Ni miguu 20x18 Bei ni 7M tayari kinamsingi wa nyumba( pichazaidi watsap)

2. Kipo Mtaa wa Nyala urefu miguu 30xupana miguu 20 Bei 9.5M tambarare kabisa hakuna mabonde

3. Kipo Mtaa wa Mskitini/(wanapaita kwenye appartment) ukubwa Ni miguu 40x28 Bei 25M
Call watsap 0715053339 kwa picha na maelezo zaidi.

IMG_20221026_111230_291.jpg
IMG_20221026_111237_723.jpg
IMG_20221026_112827_113.jpg
IMG_20221026_112746_423.jpg
IMG_20221026_114536_806.jpg
IMG_20221026_114355_275.jpg
 
Back
Top Bottom