90M/800 = 110 per sqm? Duh.Umepafanyia Valuation?
 
Nyumba inapangishwa Mbezi JUU karibu na Masana hospitali.Ipo barabarani kabisa

Ipo ndani ya fence,inavyumba 4 vi3 master,publick toilet,sebule,dinning,uwanja unapaki gari 3/4 Bei laki 7 kwa mwezi (maongezi yapo)

Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama offic n.k
Contact 0715053339
 
Nyumba inapangishwa mbezi JUU karibu na Masana hospitali (barabarani kabisa) inavyumba 4 vya kulala vyumba 3 Ni master, jiko, sebule, dinning, publick toilet. Inafence na parking ya gari 3/4 Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama office n.k Bei 700,000 (negociatable)
Contact 0715053339/0719236829

Kuoneshwa bure

 
Hata kama barabarani ndo kodi iwe mil 10 kwa mwezi?
 
Kiwanja sqm 810 kinauzwa na Banda lake la vyumba vi3 (Kama ionekanavyo pichani) kipo mbezi JUU/Tanki bovu karibu na Masana hospitali Bei Mln 80 (maongezi yapo)

Contact 0715053339/0719236829

 
Haya wakuu msiseme sijasema!

Nyumba ya kisasa inauzwa tsh 160M (negociatable) ipo mbezi Luguluni (karibu na stand ya magufuli) kilomita 1 toka lami.

Inavyumba vitatu vyote master, sebule kubwa, dinning, jiko la ndani na la nnje,inasevant cota yenye chumba master, ukubwa wa eneo SQM 500.

Nnavyumba nyingi maeneo tofauti na Bei tofauti karibu watsap kwa machaguzi na picha zaidi

Contact watsap0715053339/call0682865155

Wakuu nawasilisha.

 
Nadhani unatania.

Hiyo Nyumba ukipata sana na Hizo sqm ni milion 50-60 tena hapo umempata mgeni wa Dar au Mgeni wa nyumba
 
Wakuu anauza lether sofa seti watu3, 2 na 1 (zimetumika miezi 4 Ila bado ziko poa kabisa) Bei laki 4 na nusu zote
TV Aboda nnchi 32 Bei laki 3 na nusu
Fridge Bei laki 2
Kingamuzi complite DSTV elfu 60,000
Vipo Mbezi Goba kwa Sanya
Contact 0715053339/0719236829

 
Viwanja vi 3 tofati vipo Mbezi goba Center/ ama waeza shukia kwa awadhi umbali Ni dk 3/5kwa boda na kwa mguu pia panatembeleka

1. Kipo Mwema Street ukubwa Ni miguu 20x18 Bei ni 7M tayari kinamsingi wa nyumba( pichazaidi watsap)

2. Kipo Mtaa wa Nyala urefu miguu 30xupana miguu 20 Bei 9.5M tambarare kabisa hakuna mabonde

3. Kipo Mtaa wa Mskitini/(wanapaita kwenye appartment) ukubwa Ni miguu 40x28 Bei 25M
Call watsap 0715053339 kwa picha na maelezo zaidi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…