Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa 22,23,24,25 havijaweka bannaer ya sold,12,13,19 na 20 vina barabara kati,8,9,14,15 vina size ngapi?
oh...nimekuelewa...kumbe si kwenye ramani ya videte..hivyo viko available mkuu...kila kimoja ni double (40x17) na ni 3M kwa hiyo vi4 ni sawa na viwanja 8 na ni 12M ni dimensions za 40x68
mbona huna maelezo vya makabe ukubwa na bei?
Asante nimeona nilifungua nikasoma mnakopesha Chanika ikanichanganya. Kuna mtu anahitaji ngoja nimuulize kama ataweza bei tutakupigiaMama Joe...angalia upande wa kulia wa ramani ya Makabe utaona panel yenye maelezo yote...na bei kwenye kila kiwanja nimeweka price tag ya bei yake...karibu sana...ila ukihitaji naelezo zaidi nipatie namba yako kwa PM nikupigie