Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Umesema unaweza kulipa kidogo kidogo? Wanapokea sh ngap ya kuanzia na ni muda gani unatakiwa uwe ushamalza?

Unaanza malipo na atleast theluthi moja (1/3) ya thamani ya manunuzi yako mfano ukinunua kiwanja cha 1.8M utatakiwa kuanza na at least 600,000 na hizo zilizobakia utamalizia kwa instalments mbili..yaani malipo ni katika instalments tatu
..
 
.....chanika kidete ni baada ya chanika mjini au kabla?

Ni baada ya Chanika mwisho...ni mwendo wa dakika mbili kwa gari toka Chanika Mwisho...au kilometa moja kasoro
 
Mbona vidogo sana mkuu....

Si kidogo kama unavyofikiri...kinaweza ku-accomodate nyumba ya vyumba vinne na sebule plus dinning na kila kitu na ikabaki sehemu ya parking na mfumo wa maji taka...na kwa wale watu wenye uwezo na wanahitaji nyumba kubwa zaidi nafikiri anaweza kununua viwili combined...na ndiyo maana tunauza kwa bei rahisi...karibu sana mkuu
 
Ndugu mteja

Viwanja vipo CHANIKA MJINI

Vimebakia vichache sana wahi mapema!

Bei : 1,500,000/= vimekwisha
1.700,000/= vipo vichache
1,800,000/= vipo vichache
2,000,000/= vimekwisha
3,000,000/= vipo vichache

Wahi mapema ujipatie kiwanja chako!

Contacts: 0713565999 / 0767565999 / 0712780906 / 0769425161
 

Attachments

  • FlyerNewLargerGeneralJF6-1-15.jpg
    FlyerNewLargerGeneralJF6-1-15.jpg
    2.1 MB · Views: 519
  • RAMANI YA SHAMBA LA KWA MLINZI UPDATE 06-01-15.jpg
    RAMANI YA SHAMBA LA KWA MLINZI UPDATE 06-01-15.jpg
    206.8 KB · Views: 531
  • RAMANI SHAMBA LA VIDETE06-01-15.jpg
    RAMANI SHAMBA LA VIDETE06-01-15.jpg
    309.5 KB · Views: 517
Heshima mbele!

Where? Size? Ongeza mashiko kwenye bandiko lako kamanda

Viwanja vipo Chanika na size ni 20x17....but hapo kwenye kuongeza mashiko sijakuelewa vizuri lqbda unieleweshe ulinaanisha nnlini...
 
Viwanja vipo Chanika na size ni 20x17....but hapo kwenye kuongeza mashiko sijakuelewa vizuri lqbda unieleweshe ulinaanisha nnlini...

hope alimaanisha uongeze taarifa za kutosha mfn; chanika sehemu gani, vya 2 M vina tofauti gani na vya 1.8 or 3M na mengineyo!!
 
Naweza nikapata vinne ambavyo vyenye size 20*17 that means 40 * 34... na bei itakuwa sh ngapi? umepimisha kiserikali au wewe kama wewe tu? hivyo vya 22,23,24 na 25 nikichukua vyotye sh ngapi? na vitakuwa na size gani?
 
Naweza nikapata vinne ambavyo vyenye size 20*17 that means 40 * 34... na bei itakuwa sh ngapi? umepimisha kiserikali au wewe kama wewe tu? hivyo vya 22,23,24 na 25 nikichukua vyotye sh ngapi? na vitakuwa na size gani?

Unaweza kupata Mkuu...
Kwa Videte itakuwa ni 12,000,000 ambavyo ni 12,13,19 na 20(Mteja aliyenunua 19 na 20 ninaweza kuzungumza naye akahamia 26 na 27)
Kwa Lubakaya(Heroes St.) ni 7,200,000 ambavyo ni 8,9, 14 na 15
Kwa Kibaoni ni 6,800,000

Namba zilizowekewa alama ya SOLD vimeshauzwa mfano 22 na 23 vimeuzwa na mteja sifikiri kama atakuwa tayari kuhama kwa sababu sijazungumza naye kuhusu suala hilo...isitoshe 22 na 23 ni watu wawili tofauti

Karibu sana
 
Mkuu vimepimwa kiserikali?

Tunatoa hati ya serikali za mitaa na ndani ya muda mfupi tunaanzisha huduma ya upimaji hivyo wateja wetu wote tutawapimia kwa gharama ndogo sana(ile ya kufuatilia vielelezo serikalini tu)
 
Unaweza kupata Mkuu...
Kwa Videte itakuwa ni 12,000,000 ambavyo ni 12,13,19 na 20(Mteja aliyenunua 19 na 20 ninaweza kuzungumza naye akahamia 26 na 27)
Kwa Lubakaya(Heroes St.) ni 7,200,000 ambavyo ni 8,9, 14 na 15
Kwa Kibaoni ni 6,800,000

Namba zilizowekewa alama ya SOLD vimeshauzwa mfano 22 na 23 vimeuzwa na mteja sifikiri kama atakuwa tayari kuhama kwa sababu sijazungumza naye kuhusu suala hilo...isitoshe 22 na 23 ni watu wawili tofauti

Karibu sana

Mkubwa 22,23,24,25 havijaweka bannaer ya sold,12,13,19 na 20 vina barabara kati,8,9,14,15 vina size ngapi?
 
Back
Top Bottom