Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Yah nimeelewa kwamba Hakuna titles

...unajua mkuu kwa maeneo ya Chanika Mjini kiwanja chenye title kinauzwa si chini ya 15M hivyo kwa haraka haraka kuvipatia titles kutafanya biashara iwe ngumu sana kwa kuwauzia watz wa kawaida...hata hivyo tuko kwenye mpango wa kupima viwanja 136 hapo hapo Chanika mjini ba bei itaanzia 15,000 kwa square meter moja
 
Nimeona hapo kuwa unaweza kulipa hadi miezi 4. Je, kiwanja cha milioni 1 na lako 8 unaanza kulipa ngapi na kila mwezi unatakiwa kulipa kiasi gani???
 
Nimeona hapo kuwa unaweza kulipa hadi miezi 4. Je, kiwanja cha milioni 1 na lako 8 unaanza kulipa ngapi na kila mwezi unatakiwa kulipa kiasi gani???

...unaanza na at least laki sita (600,000) na hiyo iliyobakia unalipa kiasi unachopata lkn uhakikishe kuwa ndani ya miezi minne unamaliza deni
 
...unaanza na at least laki sita (600,000) na hiyo iliyobakia unalipa kiasi unachopata lkn uhakikishe kuwa ndani ya miezi minne unamaliza deni

Okay mkuu! Vipi kuhusu ukubwa vina ukubwa gani???
 
Okay mkuu! Vipi kuhusu ukubwa vina ukubwa gani???

Mbezi vinaanzia 20 kwa 20 na kuendelea na Chanika vipo vya 15 kwa 20,17 kwa 20 na 20 kwa 20 kutegemeana na eneo husika
 
hati za serikali za mitaa ndo zipi mkuu, mbona mi sijawahi kuzisikia?, zinatolewa kwa utaratibu upi na kwa sheria ipi, ufafanuzi tafadhali.

Hii ni karatasi/mkataba inayotolewa na ofisi ya serikali ya mtaa husika kama ushahidi kuwa mtu anamlikiki kipande cha ardhi ndani ya mtaa husika....nafikiri utakuwa umenielewa.
 

Viwanja vya Mbezi Makabe/Msumi
RAMANI YA SHAMBA LA MBEZI MAKABE-MSUMI New.jpg
 
Viwanja vya bei poa kuanzia 1,500,000= (Milioni moja na laki tano tu) vinapatikana mbalimbali ya Dar es Salaam

NEW FLYERS Larger.jpg
 
Back
Top Bottom