Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Hivi huko si ndio nimeambiw ajana kuwa Viwanja heka huko ni laki Moja mpaka laki Mbili kutokana ukubw autakao chukua?

Mkuu si kweli kuwa ekari moja ni laki moja...tungekuwa wapuuzi na walafi wa kupindukia kukata viwanja size hiyo kwa bei hiyo toka katija ekari ya laki moja...eneo tunalokata ekari moja si chini ya 25M...pia ni vizuri kuuliza kuliko ku-speculate...karibu sana
 
mimi nmenunua juzi tu hapa chanika shamba eka 2 kila moja kwa 2m..kusema eka laki moja si kweli.tena nibali kabisa na barabarani karibu km 7
 
mimi nmenunua juzi tu hapa chanika shamba eka 2 kila moja kwa 2m..kusema eka laki moja si kweli.tena nibali kabisa na barabarani karibu km 7

Afadhali Mkuu uwaambie wale wasiolelewa...na huko kilometa 7 ulikosema ni mbali sana na Chanika mjini....may be ni Mvuti au zaidi...
 
Unajua kuna watu wanaongea bila mantiki wala kufikili hebu nendeni chanika mkatembee one day then muje mulete majibu ya hivo viwanja vya bei rahisi yanu hata hivyo vya 1.8m bado ni cheap sana.ARDHI NI MALI JAMANI KILA KUKICHA INAPANDA BEI SASA WW KAA USUBIRI ETI VISHUKE BEI NDO UTAISOMA NAMBA
 
habari njema

sasa ukinunua kiwanja
tunakufanyia process ya kupata hati(tittle)
fungua kiambatanishi picha chini hapo kupata maelezo zaidi


contacts:

0713565999 / 0767565999 / 0712780906 / 0769425161
 

Attachments

  • Comb.jpg
    Comb.jpg
    214.6 KB · Views: 550
.....chanika kidete ni baada ya chanika mjini au kabla?
 
Kama mwendo wa dakika 2 toka pale kituo cha mabasi
......kule kuna vumbi sana, je una viwanja au shamba mitaa ya italiano kule kwenye viwanja vya kupima? I think wanaita kigezi, upande mwingine kuna nyumba zimejengwa za kuuzwa.
 
......kule kuna vumbi sana, je una viwanja au shamba mitaa ya italiano kule kwenye viwanja vya kupima? I think wanaita kigezi, upande mwingine kuna nyumba zimejengwa za kuuzwa.

Siyo upande ule wa kuelekea barabara ya vumbi...ni kuelekea barabara ya lami ya kwenda Mvuti...upande wa Italian nitalifanyia kazi
 
habari njema

sasa ukinunua kiwanja
tunakufanyia process ya kupata hati(tittle)
fungua kiambatanishi picha chini hapo kupata maelezo zaidi


contacts:

0713565999 / 0767565999 / 0712780906 / 0769425161

Hizo ulizoandika barabara ni barabara kuu au zile za mitaani?
 
Back
Top Bottom