Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Unajua kuna watu wabishi kaka,mie yangu ya Chanika mwanzo ni 17 x 14 na gari inaingia,nyumba ya vyumba vitatu.
Labda ujenge Hall na sio Nyumba.
Na kama unapesa sio mbaya unanunua viwili kisha unaunga,pesa yenyewe 3m kisha unataka eneo la kujenga hekalu

Kama tulivyongea McAnton Jpili naweza kukutafuta,maana Wife anakuja huko ili mwende sehem zote ikiwemo Mji mpya.Hope naweza kuchukua from 4 - 5 plots,ila tuta jadiliana baada ya kuwa ameviona

Asante sana ndugu...karibu sana!Mwenyezi Mungu akupe wepesi uweze kufanikisha haja yako...
 
Unajua kuna watu wabishi kaka,mie yangu ya Chanika mwanzo ni 17 x 14 na gari inaingia,nyumba ya vyumba vitatu.
Labda ujenge Hall na sio Nyumba.
Na kama unapesa sio mbaya unanunua viwili kisha unaunga,pesa yenyewe 3m kisha unataka eneo la kujenga hekalu

Kama tulivyongea McAnton Jpili naweza kukutafuta,maana Wife anakuja huko ili mwende sehem zote ikiwemo Mji mpya.Hope naweza kuchukua from 4 - 5 plots,ila tuta jadiliana baada ya kuwa ameviona

Ofcourse kama umekulia ilala kwenye vijumba vya 10x10 mnaishi watu sita hadi kumi. 15X30 utaiona kama ekari nzima. it is all about background na desturi za ulikotoka. kwa aliyekulia mkoani na nyumba yao imezunguukwa na shamba hicho si kiwanja cha kusifu ni uchochoro tu.
 
Chanika sehemu gan? Msumbiji, kwa ngware au njia ya mvuti?
 
Viwanja vilivyouzwa mpaka 12-11-2014
ni namba 1,2,3,4,7,13,20,21,22

Pia vile vya 1.5M na 1.7M bado vipo japo sijaviweka kwenye ramani....vimebaki vichache

karibuni.

Contacts: 0713565999 / 0767565999 / 0712780906
 

Attachments

  • RAMANI SHAMBA LA VIDETE13-11-2014.jpg
    RAMANI SHAMBA LA VIDETE13-11-2014.jpg
    314 KB · Views: 414
Bado viwanja vipo

piga
0713565999 / 0767565999 / 0712780906
 

Attachments

  • RAMANI SHAMBA LA VIDETE15-11-2014.jpg
    RAMANI SHAMBA LA VIDETE15-11-2014.jpg
    328.1 KB · Views: 373
Back
Top Bottom