Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi Beach umbali wa chini ya 3km from Beach.
Kiwanja cha Bei rahisi kiasi gani?
Bado vipi?Kibaoni mMji Mpya ndiko kuko vizuri zaidi kwa sababu watu wanajenga mijengo ya kisasa na kuna mazingira mazuri sana...ila kwa ukaribu wa Main Road ni Lukooni na hata Kipepeo Road...ila ni vuzuri zaidi ukaja kujionea mwenyewe
Viwanja vyako viko wapi?
Tunaendelea kukurahisishia maisha
viwanja vya bei kuanzia 1,500,000/ kwa sehemu ambayo umeme utakuwepo baada ya miezi sita na tsh.3,000,000/= kwa sehemu ambayo ina umeme na maji na ni mita 200 tu toka barabara ya lami(videte opposite na shule ya sekondari ya dr. Didas masaburi)