Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Kwa Wale Wa Babati Kuna Kiwanja Ukubwa Wake Ni Kama Nusu Eka,kina Nyumba Iliyojengwa Mpaka Lenta Ya Vyumba 4 Ya Biashara.Kiko Barabarani (siyo Kuu),kina Nguzo Ya Umeme Na Bomba Ya Maji.Bei 15mls.Dalali Anaruhusiwa.0784747687
 
Sasa unaweza kutazama ramani ya viwanja na kupata taarifa muhimu ya viwanja vilivyouzwa na ambavyo havijauzwa kila siku.Unaweza kufanya BOOKING ya kiwanja toka kwenye picha...taja namba ya kiwanja halafu tujtakupa maelezo ya namna ya kufanya malipo kupitia bank,Karibuni.

Tunaambatanisha picha ya ramani ya viwanja.

Contacts: 0713565999 / 0767565999 / 0712780906
 

Attachments

  • 01-11-2014.jpg
    01-11-2014.jpg
    295.2 KB · Views: 489
Sasa unaweza kutazama ramani ya viwanja na kupata taarifa muhimu ya viwanja vilivyouzwa na ambavyo havijauzwa kila siku.Unaweza kufanya BOOKING ya kiwanja toka kwenye picha...taja namba ya kiwanja halafu tujtakupa maelezo ya namna ya kufanya malipo kupitia bank,Karibuni.

Tunaambatanisha picha ya ramani ya viwanja.

Bei ya kiwanja kisicho na hati haiwezi kuwa hiyo!
 
Sasa unaweza kutazama ramani ya viwanja na kupata taarifa muhimu ya viwanja vilivyouzwa na ambavyo havijauzwa kila siku.Unaweza kufanya BOOKING ya kiwanja toka kwenye picha...taja namba ya kiwanja halafu tujtakupa maelezo ya namna ya kufanya malipo kupitia bank,Karibuni.

Tunaambatanisha picha ya ramani ya viwanja.

Contacts: 0713565999 / 0767565999 / 0712780906

viwanja vina ukubwa gani? je umeme na maji vimeshafika huko?
 
Bei ya kiwanja kisicho na hati haiwezi kuwa hiyo!

Ndugu mteja hayo ni mawazo yako na tunayaheshimu ila wenye uelewa mzuri wanajua kuwa bei ya kitu chochote kwa rejareja inategemea manunuzi ya jumla na thamani halisi ya kitu(eneo husika)...nakutakia siku njema.
 
Kuna watu wageni wa viwanja kweli.
20 x 15 au 17 x 18 unajua ukubwa wake au unabeza tu?
Kinaingia nyumba na Fence na gari mbili unatia ndani.

Nyie mliozoea kukaa kwa mama tabu kweli.Wengine wanajifanya wa masaki kumbe wa kajamba nani.Hovyo kabisa
 
Kuna watu wageni wa viwanja kweli.
20 x 15 au 17 x 18 unajua ukubwa wake au unabeza tu?
Kinaingia nyumba na Fence na gari mbili unatia ndani.

Nyie mliozoea kukaa kwa mama tabu kweli.Wengine wanajifanya wa masaki kumbe wa kajamba nani.Hovyo kabisa

Mkuu hiyo nyumba ya ukubwa gani na hizo gari mbili ni za aina gani ambazo vyote vina enea kwenye sqmt 300?
 
15 x 20.....size hii, hiki ni kiwanja cha kujenga nyumba au choo?

Mkuu hicho kiwanja si kidogo...ungekuwa na hekima ungekitembelea kwanza na kuona kabla ya kuchafua.Watu wamenunua na kujenga nyumba za kisasa na imebakia sehemu kubwa ya parking na vitu vingine.
 
Kuna watu wageni wa viwanja kweli.
20 x 15 au 17 x 18 unajua ukubwa wake au unabeza tu?
Kinaingia nyumba na Fence na gari mbili unatia ndani.

Nyie mliozoea kukaa kwa mama tabu kweli.Wengine wanajifanya wa masaki kumbe wa kajamba nani.Hovyo kabisa

Mkuu nashukuru sana kwa kuwa na hekima ya kuliona hilo...huyo ndugu naona ameamua tu kutumia ujuaji usiokuwa na maana kuchafua ilhali hata kuviona hajaviona....
 
Mkuu nashukuru sana kwa kuwa na hekima ya kuliona hilo...huyo ndugu naona ameamua tu kutumia ujuaji usiokuwa na maana kuchafua ilhali hata kuviona hajaviona....
Unajua kuna watu wabishi kaka,mie yangu ya Chanika mwanzo ni 17 x 14 na gari inaingia,nyumba ya vyumba vitatu.
Labda ujenge Hall na sio Nyumba.
Na kama unapesa sio mbaya unanunua viwili kisha unaunga,pesa yenyewe 3m kisha unataka eneo la kujenga hekalu

Kama tulivyongea McAnton Jpili naweza kukutafuta,maana Wife anakuja huko ili mwende sehem zote ikiwemo Mji mpya.Hope naweza kuchukua from 4 - 5 plots,ila tuta jadiliana baada ya kuwa ameviona
 
Back
Top Bottom