McAnton
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 259
- 37
- Thread starter
- #61
Kivipi?Serikali yetu tukufu kwa zaidi ya miaka hamsini sasa toka tupate uhuru imeshindwa kuturahisishia maisha,wewe utawezaje?
Hahahahaa...kumbuka si kila kitu lazima kifanywe na serikali...hata kukuuzia kiwanja cha 3M kwa 1.5M ni kukurahisishia maisha kupita maelezo..