Sawa lakini keyboard zina nguvu sana si uliona jinsi keyboard zilivyowafikirisha CCM sakata la bandari?Si rahisi kama hatutafanya zaidi ya hiyo.. Ccm ina mizizi mirefu na mipana, wezi wa taifa hili wamejijenga vema mnoo, si rahisi rahisi kama unavyofikiri, mtapambana kwenye keyboard watatengeneza skendo diamond shoga nasi watz tulivyo mamburula na umbea tunaupenda ndio imeisha hiyo.