Tunavumilia tunachoka, hatuna umeme, maji, barabara mbovu, maisha juu, wapo busy na siasa safi

Tunavumilia tunachoka, hatuna umeme, maji, barabara mbovu, maisha juu, wapo busy na siasa safi

Si rahisi kama hatutafanya zaidi ya hiyo.. Ccm ina mizizi mirefu na mipana, wezi wa taifa hili wamejijenga vema mnoo, si rahisi rahisi kama unavyofikiri, mtapambana kwenye keyboard watatengeneza skendo diamond shoga nasi watz tulivyo mamburula na umbea tunaupenda ndio imeisha hiyo.
Sawa lakini keyboard zina nguvu sana si uliona jinsi keyboard zilivyowafikirisha CCM sakata la bandari?
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

Watanzania mna malalamiko ya mdomoni tu, vitendo hakuna.

Tulia muisome namba.
 
Umeandika takataka, wewe ambaye hata ukinunua bidhaa hudai risiti? Halafu serikali itoe wapi fedha ya maendeleo

Unashinda kwa shemeji Dar na remote nyumbani kwenu umeacha mashamba makubwa yemye rutuba yanaota magugu
Fedha ya maendeleo hawana ila ya kulipa wake wa wastaafu wanazo, ajabu sana pamoja na kutokuwa na fedha za maendeleo ila bado wanaishi maisha ya kifahari pamoja na ufisadi juu ila fedha za maendeo tu ndio hakuna.
 
Fedha ya maendeleo hawana ila ya kulipa wake wa wastaafu wanazo, ajabu sana pamoja na kutokuwa na fedha za maendeleo ila bado wanaishi maisha ya kifahari pamoja na ufisadi juu ila fedha za maendeo tu ndio hakuna.
Hawajali kabisa kuhusu mtanzania na tanzania kiujumla, wao wanaangalia maslahi yao tu. Nchi yenye uchumi mbovu kama huu ni matusi kiongozi kutembelea gari la milioni mia 4
 
Sawa lakini keyboard zina nguvu sana si uliona jinsi keyboard zilivyowafikirisha CCM sakata la bandari?
Kipi kilitokea, lao si wamelifanya bila haya.
Kuna watu waliiba wakasema visenti tu.
Kuna watu wakajibu kwa dharau asiyetaka ahamie burundi hao kipi kimetokea?
 
Tuko bize na misomisondo+kukata mauno tu

Ova
 
watanzania wengi we are tired, tumechoka sana, . hii SERIKALI ya awamu hii is the worst government ever. EVERYTHING IS BROKEN, BADO SOCIETY TU, 2025 MBALI SANA WE ARE RUNNING OUT PATIENCE.
SOME THING MUST BE DONE.
WE CANT GO ON THIS WAY.

WE NEED THIS GOVERNMENT OUT,
BY ANY MEANS.
WE NEED SAMIA NA GENGE LAKE OUT.
we bwege ndio unaitwa "watanzania wengi" We umechoka mwenyewe, kajitundike tu km umechoka usiwaambukize wengine uvivu wako. Huna hata haya unakuja kutuandikia huu upupu. We kweli kwa mwendo huo hutafika 2025. Uongozi unatoka kwa wananchi kwa njia ya kupigiwa kura, km unaona kuna njia nyingine we kajaribu tuone km utafanikiwa.
 
Samia hana habari na matatizo ya wananchi yeye akili yeke yote iko kwenye uchaguzi wa 2025 kama atafanikiwa kuendelea!!! Wananchi hawana budi kuamua kutatua matatizo yao kwa njia wanayoona inafaa. To wait for this government to act is a pipe dream; hawana uwezo kwani wamefikia kikomo cha kufikiri!
mamako ana habari na matatizo yako?
 
Kipi kilitokea, lao si wamelifanya bila haya.
Kuna watu waliiba wakasema visenti tu.
Kuna watu wakajibu kwa dharau asiyetaka ahamie burundi hao kipi kimetokea?
Kelele zilizofanya mabadiliko hata kama ni kidogo zilitokana na keyboard
 
watanzania wengi we are tired, tumechoka sana, . hii SERIKALI ya awamu hii is the worst government ever. EVERYTHING IS BROKEN, BADO SOCIETY TU, 2025 MBALI SANA WE ARE RUNNING OUT PATIENCE.
SOME THING MUST BE DONE.
WE CANT GO ON THIS WAY.

WE NEED THIS GOVERNMENT OUT,
BY ANY MEANS.
WE NEED SAMIA NA GENGE LAKE OUT.
Jisemee mwenyewe. Hujatumwa kuwasemea Watanzania
 
Back
Top Bottom