Tunavumilia tunachoka, hatuna umeme, maji, barabara mbovu, maisha juu, wapo busy na siasa safi

Sawa lakini keyboard zina nguvu sana si uliona jinsi keyboard zilivyowafikirisha CCM sakata la bandari?
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

Watanzania mna malalamiko ya mdomoni tu, vitendo hakuna.

Tulia muisome namba.
 
Umeandika takataka, wewe ambaye hata ukinunua bidhaa hudai risiti? Halafu serikali itoe wapi fedha ya maendeleo

Unashinda kwa shemeji Dar na remote nyumbani kwenu umeacha mashamba makubwa yemye rutuba yanaota magugu
Fedha ya maendeleo hawana ila ya kulipa wake wa wastaafu wanazo, ajabu sana pamoja na kutokuwa na fedha za maendeleo ila bado wanaishi maisha ya kifahari pamoja na ufisadi juu ila fedha za maendeo tu ndio hakuna.
 
Fedha ya maendeleo hawana ila ya kulipa wake wa wastaafu wanazo, ajabu sana pamoja na kutokuwa na fedha za maendeleo ila bado wanaishi maisha ya kifahari pamoja na ufisadi juu ila fedha za maendeo tu ndio hakuna.
Hawajali kabisa kuhusu mtanzania na tanzania kiujumla, wao wanaangalia maslahi yao tu. Nchi yenye uchumi mbovu kama huu ni matusi kiongozi kutembelea gari la milioni mia 4
 
Sawa lakini keyboard zina nguvu sana si uliona jinsi keyboard zilivyowafikirisha CCM sakata la bandari?
Kipi kilitokea, lao si wamelifanya bila haya.
Kuna watu waliiba wakasema visenti tu.
Kuna watu wakajibu kwa dharau asiyetaka ahamie burundi hao kipi kimetokea?
 
Tuko bize na misomisondo+kukata mauno tu

Ova
 
we bwege ndio unaitwa "watanzania wengi" We umechoka mwenyewe, kajitundike tu km umechoka usiwaambukize wengine uvivu wako. Huna hata haya unakuja kutuandikia huu upupu. We kweli kwa mwendo huo hutafika 2025. Uongozi unatoka kwa wananchi kwa njia ya kupigiwa kura, km unaona kuna njia nyingine we kajaribu tuone km utafanikiwa.
 
mamako ana habari na matatizo yako?
 
Kipi kilitokea, lao si wamelifanya bila haya.
Kuna watu waliiba wakasema visenti tu.
Kuna watu wakajibu kwa dharau asiyetaka ahamie burundi hao kipi kimetokea?
Kelele zilizofanya mabadiliko hata kama ni kidogo zilitokana na keyboard
 
Jisemee mwenyewe. Hujatumwa kuwasemea Watanzania
 
Jisemee mwenyewe. Hujatumwa kuwasemea Watanzania
see the comment section, ukiona your not affected ww sio mtanzania mwenzetu. and if your causing it. God makes you pay for it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…