Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Rais na familia yake wametawala miaka kibao na wanaishi kwa kuwakebehi wananchi huku wakila raha
Maisha yamekuwa magumu kiasi ambacho hata mafuta ya magari yakakosekana kabisa na hata chakula Hakuna
Sasa ulitaka wale mawe?
Wanechoka na maisha hayo na ujue hawa jamaa wamepigana wengi na wanaona kabisa hakuna raha mbeleni zaidi ya mapinduzi na kupata wengine wa kuongoza nchi
Ila Waziri Mkuu yamemkuta safi sana na bado
Nyie mnafikiri mtakaa maisha hapo kubadilishana Post wale wale miaka 50
Maisha yamekuwa magumu kiasi ambacho hata mafuta ya magari yakakosekana kabisa na hata chakula Hakuna
Sasa ulitaka wale mawe?
Wanechoka na maisha hayo na ujue hawa jamaa wamepigana wengi na wanaona kabisa hakuna raha mbeleni zaidi ya mapinduzi na kupata wengine wa kuongoza nchi
Ila Waziri Mkuu yamemkuta safi sana na bado
Nyie mnafikiri mtakaa maisha hapo kubadilishana Post wale wale miaka 50