Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #81
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Iweee habarisi tunda njoo kwa mtoto wa kihaya omushaija mtoto wa kanyaitodi tule senene na ndizi kutoka bukoba, uje uwaone wakina rweganzira, Rwekubanza na wifi yako kina koku π€£π€£
chaichawa wa WCB huna swaga za kumshinda ndaro
Somo kubwa sana,tunajifunza kwao mkuu.Apate funzo kwa Sepetunga.
Beauty is in the eyes of the beholder! Huwezi kujua ka Ndaro kanampiga mapigo gani!Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Huyo bado binti mbichi atulie apate bwana wa maana kama kipindi kile yupo na Kinje
Kumbe ππ€¨
ubaba ni upi?""huo ni umama"""
ππππ
Msemo wa ndaro huo mkuu..ubaba ni upi?
huwa simkubali .Msemo wa ndaro huo mkuu..
ππππ
Mshamba ka washamba wengine tuu...huwa simkubali .
Beana wa maana unayemtaka ni yupi?Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Mme wa Shilole,alisema amewachia wengine waliendeleze gurudumu, so kijana Ndaro nae ameingia kwenye list ya wanao lisukuma gurudumu aina ya Tunda.Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Ni mwenyekiti wa Madalali wa Ndizi kwenye Soko la Mlimani City..Kwani hawa wanaojadiliwa hapa,wao ni kina nani huko Daslamu?
Hance wa Tunda πΉHuyo bado binti mbichi atulie apate bwana wa maana kama kipindi kile yupo na Kinje