Tundu A. Lissu amekata tamaa ya kuja kuwa Rais wa Tanzania. Ataendelea kuwa Mwanaharakati Machachari wa Tanzania

wewe pimbi unaongea kama una guarantee ya uhai vile
Na mwenzako alifanya hivyo hivyo cha ajabu now yupo mawinguni akiimba pamoja na malaika watakatifu milele aamin!

Hivyo acha vitisho mbuzi,kunywa maji mengiiiiiii halafu relax!
 
Wapi Lissu aliposhangilia kifo Cha Jiwe? Au kwa kuwa alitoa taarifa za mapema juu ya kuumwa kwa jiwe ? Hebu wekeni hizo tweet akifurahia ? Jiwe kafa harudi ! Bila Lissu kutoa siri ya kuwa Jiwe ameshashakufa mpaka Leo mngekuwa mnaambiwa bado yupo ofisini kwake anachapa kazi , mnatakiwa mumshukuru sana , mpaka Leo mngekuwa mnalishwa matango pori toka msikitini .
 
Bora mara mia umaskini wa kipato kuliko umasikini wa kufikiri! Wewe Baada ya kulipwa buku saba huko Lumumba ukala ugali wa dagaa ndio unakuja kuandika utopolo hku. Lissu sio mara ya kwanza kupigwa risasi akasurvive tena sio moja wala mbili more than fifteen bullets, kabla ya kuandika chochote ukapost embu jaribu kukisoma tena mwenywe
 
Bado roho ya chuki na ubaguzi inatawala wafuasi wengi wa marehemu Magufuli.Hawapendi maoni yoyote yasiyosifia maiti.
 
Ndiyo maana JF mods wanakukarabati
 
Simply stupid. If wishes were horses you would definitely own many.
 
Wenzako tunamsikiliza Padri akiongoza sala wewe unaangalia ndege zinazopita kama utamuona Lissu! Tulia tuzike wewe na Lissu mtamalizana kwenu.
 
Vita ya Lissu na Magufuli matokeo ni Lissu yu hai Magu is Dead na bado Mataga wanatembeza mifupa mwanza

Vita ya Lissu na Mataga ndio kwaaza imeanza na wala haitachukua raundi Lissu anaibuka kidedea

lisu anapigana na upepo,baada ya kichapo cha oct 2020,sasa kichapo cha kupuuzwa kinafuata.

bro pitia dharau zote ila sio kupuuzwa.
 
Jifunze kusamehe
 
Uko sahihi sana ndugu yangu
 
Lissu alikuwa anashindana na Tume ya Magufuli

Iwepo Tume huru uone kama Lissu haingii Ikulu asubuhi tu

ikulu hata wewe ukitaka unaingia.ila katiba inasema rais lazina achaguliwe na wananchi wengi zaidi kwenye uchaguzi mkuu.

sio ambaye atapewa likes nyingi zaidi twitter.
 
ikulu hata wewe ukitaka unaingia.ila katiba inasema rais lazina achaguliwe na wananchi wengi zaidi kwenye uchaguzi mkuu.

sio ambaye atapewa likes nyingi zaidi twitter.
Ndio maana tunalilia Tume huru halafu iwapo ccm itashinda tunawapa mkono wa pongezi

Kila washinde kihalali wanaogopa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…