Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Hukuwajua wewe na nani?

Jisemee nafsi yako kwa sababu ni aina fulani ya ujinga kuweka mwamvuli wa fikra zako kwa watu wote!
Uliyafahamu maisha ya mgombea wa CCM 2015 ya kielimu na kijamii kabla ya kugombea urais? Kama ulifahamu ni wewe tuu kwa sababu pengine uko ndani ya hicho chama chenu lakini kuna usiri mkubwa sana hadi leo
 
Jee elimu yake ya msingi aliipatia wapi? Sekondari tunaambiwa ni Galanosi Tanga na Ilboru Arusha.
Maisha yake huko shule yalikuwaje?
Kulikuwa na elements za kiongozi kama alizokuwa nazo Mwalimu Nyerere akiwa shule?
So rahisi kupata hizo details
 
Ukurasa huu ni maalumu utakao elezea mkusanyiko wa habari za kweli za maisha ya mwanasiasa huyu machachari, elimu yake, hotuba zake za bungeni na nje ya bunge, Madhaifu yake na kadhalika kutoka kwa watu mbali mbali wanao mfahamu au kujua na kukusanya yenye ushahidi...
Itamsaidia nini mtanzania!
 
Lumumba moja haikai mbili haionekani. Lisu anawanyima usingizi, Lissu anawapa njaa. Kuanzia vijana wa Msiba, vijana wa tuinuane wa Gwajima hadi vijana wa pole pole ni Mwendo wa kupewa bundle kuingia mitandaoni kufanya Character assasination dhidi ya Lissu na kujaribu kupoza upepo wake.

Ila Lissu amewashika CCM pabaya. Hakuna uchaguzi mgumu kama kupambana na Mpinzani Halisi 😂😂😂😂😂
 
Wanamuelewa sema wanawaza kwa tumbo
🤣 🤣 🤣 unajua nilikua siamini kwamba kuna MATAGA wanalipwa kwa kuchafua thread humu JF. Kuna thread moja ya Nyani Ngabu inaelezea historia ya JF ilikotoka, kuna MATAGA wamekiri kabisa mle kwamba wanalipwa buku 7 kwa kuja kuchafua hali ya hewa humu. Amini hilo
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] unajua nilikua siamini kwamba kuna MATAGA wanalipwa kwa kuchafua thread humu JF. Kuna thread moja ya Nyani Ngabu inaelezea historia ya JF ilikotoka, kuna MATAGA wamekiri kabisa mle kwamba wanalipwa buku 7 kwa kuja kuchafua hali ya hewa humu. Amini hilo
Hao watu ni shida
 
Back
Top Bottom