Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Jee kwa kwa kusema haya ndio amekuwa mwanasheria wa Acacia?Lisu ni mwanasheria wa Acacia na mtukanaji mkubwa wa watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jee kwa kwa kusema haya ndio amekuwa mwanasheria wa Acacia?Lisu ni mwanasheria wa Acacia na mtukanaji mkubwa wa watanzania
Uliyafahamu maisha ya mgombea wa CCM 2015 ya kielimu na kijamii kabla ya kugombea urais? Kama ulifahamu ni wewe tuu kwa sababu pengine uko ndani ya hicho chama chenu lakini kuna usiri mkubwa sana hadi leoHukuwajua wewe na nani?
Jisemee nafsi yako kwa sababu ni aina fulani ya ujinga kuweka mwamvuli wa fikra zako kwa watu wote!
Asubuhi yote hii umelewa wanzukiLisu ni mwanasheria wa Acacia na mtukanaji mkubwa wa watanzania
So rahisi kupata hizo detailsJee elimu yake ya msingi aliipatia wapi? Sekondari tunaambiwa ni Galanosi Tanga na Ilboru Arusha.
Maisha yake huko shule yalikuwaje?
Kulikuwa na elements za kiongozi kama alizokuwa nazo Mwalimu Nyerere akiwa shule?
Itamsaidia nini mtanzania!Ukurasa huu ni maalumu utakao elezea mkusanyiko wa habari za kweli za maisha ya mwanasiasa huyu machachari, elimu yake, hotuba zake za bungeni na nje ya bunge, Madhaifu yake na kadhalika kutoka kwa watu mbali mbali wanao mfahamu au kujua na kukusanya yenye ushahidi...
Kumuelewa mgombea kuliko kuchagua tuu kama ilivyotokea 2015. Makosa ya 2015 yalianzia kwenye uteuzi wa vyama vyote vikuu kwa kutowafahamu wagombea.Itamsaidia nini mtanzania!
Waziri sio kiongozi?Magufuli hakuwahi hata kuwa kuongozi wa darasa
Tuambie alivyokutukanaLisu ni mwanasheria wa Acacia na mtukanaji mkubwa wa watanzania
Bila shaka kachukue chako fasterLisu ni mwanasheria wa Acacia na mtukanaji mkubwa wa watanzania
Thread imeunganishwa na ya zamani iliyokuwa na details zote. Go to post #1 utakutana na madini ya nguvuSo rahisi kupata hizo details
MATAGA bado hawajamuelewa.Jamani hivi bado kuna watz ambao bado hawajamuelewa Lissu?!
He's a type of intellectuals the world has ever experienced.
Mbona huo mfumo wa elimu haujamsaidia mzee wa PhD feki??Lisu ni matunda ya mfumo bora wa elimu yetu Tz
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 dahMbona huo mfumo wa elimu haujamsaidia mzee wa PhD feki??
Wanamuelewa sema wanawaza kwa tumboMATAGA bado hawajamuelewa.
🤣 🤣 🤣 unajua nilikua siamini kwamba kuna MATAGA wanalipwa kwa kuchafua thread humu JF. Kuna thread moja ya Nyani Ngabu inaelezea historia ya JF ilikotoka, kuna MATAGA wamekiri kabisa mle kwamba wanalipwa buku 7 kwa kuja kuchafua hali ya hewa humu. Amini hiloWanamuelewa sema wanawaza kwa tumbo
Hao watu ni shida[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] unajua nilikua siamini kwamba kuna MATAGA wanalipwa kwa kuchafua thread humu JF. Kuna thread moja ya Nyani Ngabu inaelezea historia ya JF ilikotoka, kuna MATAGA wamekiri kabisa mle kwamba wanalipwa buku 7 kwa kuja kuchafua hali ya hewa humu. Amini hilo