Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,683
- 3,349
Jasiri muuaji au?Kama ujasiri basi awamu ya tano amekutana na jasiri mwenzie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jasiri muuaji au?Kama ujasiri basi awamu ya tano amekutana na jasiri mwenzie!
Lissu huwa anaonekana ana akili sana anapoongea na watu wasioelewa chochote BTW lissu leo ni mwanasheria sababu aliwahi kumlilia Kabudi zaidi ya masaa 7 amtoe kwenye nyavu,Kabudi ana huruma sana
Kwa maombi yangu nashauri makufuli amwite kwenye majadiliano ya sheria naye ashiriki mbona nyerere aliwahi kuchukua wakili kutoka Ghanatatizo lake ni kigeugeu na anajiona yeye ana akili kushinda watu wote
Sahihi kabisaaaaKwa sasa sheria ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa na vilevile zidumu fikra za Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama wa Dsm hakuna jaji wala Mwanasheria yupo juu ya hao wasukuma wawili toka chato na kolomije.
Tundulissu msaliti alikuwa ni mjanja kutafuna pesa za wawekezaji, alikuwa ana anzisha zengwe alafu anajifanya kuwatete na domokaya lake walahi
Mwenye Enzi Mungu ni mwaminifu akamzima milele walahi
Put your heading differently!!!Watu wa CCM kila Mbunge wa Singida Mashariki Mheshimiwa (anastahili kuitwa Mheshimiwa)Tundu Lissu anapotoa hoja zake za kisiasa kwa kutumia taaluma yake ya kisheria, humponda sana kwamba uwezo wake ni mdogo kwenye kuchambua hoja za kisiasa kisheria.
Lakini inawezekana ni kweli kwamba Lissu (kwa mtazamo wa wana CCM) uwezo wake kisiasa na kisheria ni mdogo sana. Lakini ni Lissu ambaye kila wakati anakuwa upande sahihi dhidi ya wanasiasa na wanasheria wanaotumiwa na CCM katika kuendesha mambo mbali mbali ya kisheria na kisiasa serikalini. Mambo mengi yanayokanushwa na "wabobezi" wanaotegemewa na CCM dhidi ya hoja za Lissu, huja kuonekana baadaye kwamba Lissu alikuwa sahihi.
Wakati Lissu anahangaika dhidi ya sheria Mbovu na wawekezaji "uchwara" kwenye sekta ya madini, wabobezi wa Sheria na siasa toka CCM walimwita Lissu kuwa ni mtu anayetisha wawekezaji. Leo hii wawekezaji waliowaita wenyewe, wakaingia nao mikataba, wakawapa migodi, CCM wanawaita wezi!!
Kwa ivo inawezekana kwa mitazamo hasi ya Ki-CCM Lissu si mwanasiasa bora wala si mwanasheria mbobezi, lakini kuna ukweli unaobakia kwamba Lissu ni Mwanasheria na mwanasiasa mwenye ujasiri wa kipekee kwenye kusimamia sheria na kupigania maslahi ya nchi yetu Tanzania.
Kunguru wa Lumumba msidhani kila sehemu ni jalala la kupatia mizoga!!
ExactlyHivi Lissu ni mtu anayeonekana anaweza kujiua kwa mambo ya kijinga kijinga!? Lissu ni Lissu na ulisu wake ni ujasiri na werevu alio nao!!
Kuna dalili ya wewe kutekenywa na wadudu. HaaaahaaaaaYote haya yanatoka kwenye mtambo wa kuzalisha uwongo ufipa,msalimie kubenea na komu waambie wamtembelee meya jacob!
HakikaWenye Tenda yaani wanaolipwa Bilion kwa mwaka kwa ajili ya kuwatetea CCM mitandaoni ndiyo shiiida, kwani wameajiri vilaza mbumbu vijuha, vizuzu vitupu ndiyo maana utetezi dhidi ya CCM ni wa hovyo hovyo tu, wamiliki wa Tenda akina Musiba, Jerry Muro na kubwa jinga Le mutuz wao kazi yao ni kula pesa za CCM tu kazi wamewaachia wajinga wajinga wenzao kupambana na watu mitandaoni.
Kimeswihi na kinalandana na maudhui yaliyomo ndani!?P
Put your heading differently!!!
Jiwe ndie ali order lisu auwawe.lakin Mungu si msukuma aiseeUna ushahidi wa kuwa waliomshambulia ni watu anaobishana nao kwa hoja,jacob aliyetaka kutekwa alibishana na akina nani!
Mungu ni mchaga alisimsikia mbowe alipolegeza break za gari ya chacha wangwe!Jiwe ndie ali order lisu auwawe.lakin Mungu si msukuma aisee
Always bogus.Kama ujasiri basi awamu ya tano amekutana na jasiri mwenzie!
Always bogus.Mungu ni mchaga alisimsikia mbowe alipolegeza break za gari ya chacha wangwe!
Kwa kweli!!Always bogus.
Jasiri wa kuteka na kupiga risasi??Kama ujasiri basi awamu ya tano amekutana na jasiri mwenzie!
Wewe mrembo nijibu hii hoja kipindi hiyo mikataba inasainiwa ilisainiwa chini ya serikali ya chama gani??Waliosaini mikataba walichukuliwa hatua gani??Kulamba matapishi yake na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame ya Chadema.
Na sasa hivi kuanza kutumia elimu yake aliyosomeshwa kwa kodi za watanzania na kuanza kutetea wezi wa madini ya watanzania
Lisu ni jasiri kwelikweli
Bora umemzodoa huyo mpuuzi wa Lumumba..siyo kweli.
..Kabudi alikuwa Ujerumani akisoma toka mwaka 1989 -- 1995.
..Tundu Lissu alikuwa Udsm kuanzia 1991 -- 1994.
..kwa hiyo Lissu na Kabudi hawajawahi kukutana kitivo cha sheria UDSM.
..wasifu wa Tundu Lissu: Parliament of Tanzania
..wasifu wa Prof.Kabudi: Parliament of Tanzania
..Wakuu wa Kitivo cha Sheria tangu kuanzishwa kwake:Deans
cc ISIS, thetallest
"Amekutana na jasiri mwenzie"kwa kauli hii,inadhibitisha kuwa jiwe alihatarisha maisha ya lissu sio??Jasiri wa kuteka na kupiga risasi??
Wengi wa haò wañàòmpìñgà hawàsukumwi hata na siasa Bali wako kaźini. Weñģi hawana hoja bali kejeli, mipasho na matusi.Kuna watu wanamwita kibaraka, mwehu na maneno mengine mengi ya dhihaka, lakini naona ni wanasukumwa zaidi na mihemuko ya mapenzi ya kisiasa, ila baada ya muda mrefu sana miaka kadhaa ikipita ndio tunagundua yupo sahihi na hasara tayari mmeshaipata nadhani badala ya kumpotezea msikilizeni japo hamumpendi.