Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Sio jasiri...

Ana mihemko...

Tokea 1998 Lisu kaanza harakati kupinga mikataba mibovu ya Madini hakusikilizwa leo hii mtukufu kaja na kelele za kuibiwa pasipo kurekebisha mikataba mibovu unategemea nini? Ujasiri anao kwani kipindi cha Mkapa alikuwa hatari sana alibambikiwa kesi kibao lakini mungu akamlinda na kuzipangua zote, kumbuka hata Nyerere alifutwa na mkapa kwenye ramani ya Dunia baada ya kupiga kelele kuhusu uuzaji wa mashirika, Ubinafusishaji kuleta kampuni za nje kuja kuchimba madini na uuzaji Bank ya NBC ambayo ni Bank iliyopendwa sana na baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
 
Mtukufu sio jasiri bali ni muonevu pia ni mpenda Visasi huku mshauri wake mkuu Bashite akitumia fursa hizo kutengeneza blackmail za kutosha kwa matajiri kisha kuwachukulia pesa zao kwa njia haramu.
swadakta
 
Lissu ana bipolar so ni mtu anayehitaji uangalizi wa mtu wa karibu
Kunguru kimaumbile si ndege alietazamiwa kuishi maisha anayoishi, ila woga umemjaa kiasi kwamba huwinda kwa kuvizia na sehemu yake kubwa ya maisha ni kula mizoga na takataka za jalalani.

Kunguru wa Lumumba!!
 
Watu wa CCM kila Mbunge wa Singida Mashariki Mheshimiwa (anastahili kuitwa Mheshimiwa)Tundu Lissu anapotoa hoja zake za kisiasa kwa kutumia taaluma yake ya kisheria, humponda sana kwamba uwezo wake ni mdogo kwenye kuchambua hoja za kisiasa kisheria.

Lakini inawezekana ni kweli kwamba Lissu (kwa mtazamo wa wana CCM) uwezo wake kisiasa na kisheria ni mdogo sana. Lakini ni Lissu ambaye kila wakati anakuwa upande sahihi dhidi ya wanasiasa na wanasheria wanaotumiwa na CCM katika kuendesha mambo mbali mbali ya kisheria na kisiasa serikalini. Mambo mengi yanayokanushwa na "wabobezi" wanaotegemewa na CCM dhidi ya hoja za Lissu, huja kuonekana baadaye kwamba Lissu alikuwa sahihi.

Wakati Lissu anahangaika dhidi ya sheria Mbovu na wawekezaji "uchwara" kwenye sekta ya madini, wabobezi wa Sheria na siasa toka CCM walimwita Lissu kuwa ni mtu anayetisha wawekezaji. Leo hii wawekezaji waliowaita wenyewe, wakaingia nao mikataba, wakawapa migodi, CCM wanawaita wezi!!

Kwa ivo inawezekana kwa mitazamo hasi ya Ki-CCM Lissu si mwanasiasa bora wala si mwanasheria mbobezi, lakini kuna ukweli unaobakia kwamba Lissu ni Mwanasheria na mwanasiasa mwenye ujasiri wa kipekee kwenye kusimamia sheria na kupigania maslahi ya nchi yetu Tanzania.

Kunguru wa Lumumba msidhani kila sehemu ni jalala la kupatia mizoga!!
 
Lissu huwa anaonekana ana akili sana anapoongea na watu wasioelewa chochote BTW lissu leo ni mwanasheria sababu aliwahi kumlilia Kabudi zaidi ya masaa 7 amtoe kwenye nyavu,Kabudi ana huruma sana
Halafu huyo huyo kavudi anamuogopa lissu
 
Lisu ni bora ila sio jasiri vipi alishindwa kuhoji kipengele cha katiba ya chama chake kiliponyofolewa au kuondolewa kuhusu ukomo wa uongozi hata kukitolea maelezo kisheria kuhusu uhalili wake mpaka leo hatujamsikia kuhusu hilo hapo ndo kidogo ule ujasiri wake una...
 
kuna ukweli unaobakia kwamba Lissu ni Mwanasheria na mwanasiasa mwenye ujasiri wa kipekee kwenye kusimamia sheria na kupigania maslahi ya nchi yetu Tanzania.
Naunga mkono hoja, Lissu ni jasiri kweli toka shule
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!. - JamiiForums

Pia Lissu na Zitto ndio watu wawili pekee wakisimama na Magufuli 2020, wanaweza kuleta impact, japo sio kushinda, hivyo nilipendekeza Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli! - JamiiForums

P
 
Lissu huwa anaonekana ana akili sana anapoongea na watu wasioelewa chochote BTW lissu leo ni mwanasheria sababu aliwahi kumlilia Kabudi zaidi ya masaa 7 amtoe kwenye nyavu,Kabudi ana huruma sana

Ukikamatwa na chizi lazima ulie au ujifanye umekufa ili akuachie...............
 
Namkubali Lissu sana kwa sababu he is talented. Ni ngumu kuipinga ama kushindana na talanta....utaangukia pua tu.
 
Mtukufu sio jasiri bali ni muonevu pia ni mpenda Visasi huku mshauri wake mkuu Bashite akitumia fursa hizo kutengeneza blackmail za kutosha kwa matajiri kisha kuwachukulia pesa zao kwa njia haramu.
Unasemaa??
 
Tokea 1998 Lisu kaanza harakati kupinga mikataba mibovu ya Madini hakusikilizwa leo hii mtukufu kaja na kelele za kuibiwa pasipo kurekebisha mikataba mibovu unategemea nini? Ujasiri anao kwani kipindi cha Mkapa alikuwa hatari sana alibambikiwa kesi kibao lakini mungu akamlinda na kuzipangua zote, kumbuka hata Nyerere alifutwa na mkapa kwenye ramani ya Dunia baada ya kupiga kelele kuhusu uuzaji wa mashirika, Ubinafusishaji kuleta kampuni za nje kuja kuchimba madini na uuzaji Bank ya NBC ambayo ni Bank iliyopendwa sana na baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Paka kufuta watu kwenye ramani ya dunia tena ?Mungu nipe subira
 
Kama ujasiri basi awamu ya tano amekutana na jasiri mwenzie!
ninachojuwa kafanikisha neno moja tu kwa jinsi anavyojiita mimi nikichaa na ninaowachagua ni vichaa basi kama huo ni ujasiri hongera zake
 
Back
Top Bottom