Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Unahitaji kufanyiwa checkup ya hali ya juu .
Hata Mandela alikuwa 'mtukutu' kwa mtazamo wa makaburu. Universities zote alizosoma uraiani alifukuzwa, akaenda kumalizia degree yake gerezani Robben Island kwa njia ya elimu masafa (distance education)
 
Watu wa CCM kila Mbunge wa Singida Mashariki Mheshimiwa (anastahili kuitwa Mheshimiwa)Tundu Lissu anapotoa hoja zake za kisiasa kwa kutumia taaluma yake ya kisheria, humponda sana kwamba uwezo wake ni mdogo kwenye kuchambua hoja za kisiasa kisheria.

Lakini inawezekana ni kweli kwamba Lissu (kwa mtazamo wa wana CCM) uwezo wake kisiasa na kisheria ni mdogo sana. Lakini ni Lissu ambaye kila wakati anakuwa upande sahihi dhidi ya wanasiasa na wanasheria wanaotumiwa na CCM katika kuendesha mambo mbali mbali ya kisheria na kisiasa serikalini. Mambo mengi yanayokanushwa na "wabobezi" wanaotegemewa na CCM dhidi ya hoja za Lissu, huja kuonekana baadaye kwamba Lissu alikuwa sahihi.

Wakati Lissu anahangaika dhidi ya sheria Mbovu na wawekezaji "uchwara" kwenye sekta ya madini, wabobezi wa Sheria na siasa toka CCM walimwita Lissu kuwa ni mtu anayetisha wawekezaji. Leo hii wawekezaji waliowaita wenyewe, wakaingia nao mikataba, wakawapa migodi, CCM wanawaita wezi!!

Kwa ivo inawezekana kwa mitazamo hasi ya Ki-CCM Lissu si mwanasiasa bora wala si mwanasheria mbobezi, lakini kuna ukweli unaobakia kwamba Lissu ni Mwanasheria na mwanasiasa mwenye ujasiri wa kipekee kwenye kusimamia sheria na kupigania maslahi ya nchi yetu Tanzania.

Kunguru wa Lumumba msidhani kila sehemu ni jalala la kupatia mizoga!!
 
Jasiri hubishana hoja kwa hoja siyo hoja kwa risasi. Watumia mabavu siku zote ni watu waoga!!
Jasiri hubishana hoja kwa hoja siyo hoja kwa risasi. Watumia mabavu siku zote ni watu waoga!!
Una ushahidi wa kuwa waliomshambulia ni watu anaobishana nao kwa hoja,jacob aliyetaka kutekwa alibishana na akina nani!
 
Kuna watu wanamwita kibaraka, mwehu na maneno mengine mengi ya dhihaka, lakini naona ni wanasukumwa zaidi na mihemuko ya mapenzi ya kisiasa, ila baada ya muda mrefu sana miaka kadhaa ikipita ndio tunagundua yupo sahihi na hasara tayari mmeshaipata nadhani badala ya kumpotezea msikilizeni japo hamumpendi.
 
Tundulissu msaliti alikuwa ni mjanja kutafuna pesa za wawekezaji, alikuwa ana anzisha zengwe alafu anajifanya kuwatete na domokaya lake walahi
Mwenye Enzi Mungu ni mwaminifu akamzima milele walahi
 
Back
Top Bottom