ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
- Thread starter
- #41
Ni kura tu, au Kuna zaidi ya kura, may be uwiziMiaka 50 ni mingi sana hao wana mizizi iliokomaa haswa kuing'oa ni ngumu sana labda mungu awe na mipango yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kura tu, au Kuna zaidi ya kura, may be uwiziMiaka 50 ni mingi sana hao wana mizizi iliokomaa haswa kuing'oa ni ngumu sana labda mungu awe na mipango yake
Epuka usije rushiwa majini ww.🤣🤣🤣 hapo nimetania tyuAtakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
nani asiyependa haki?1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,
yaezekana hujui tu ginsi dunia inavyofanya kazi. nasema hilo juu:no point2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.
Sawa kabisa. Tunaanza na ndani mwetu CHADEMA. Hivi kumbe Trump kutoa nafasi kwa wasanii ni rushwa? Zelensky ni msanii pia😅 acha utani bana, ndio🤣🤣🤣🤣3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.
yani unasema Mh Lissu ni kiongozi bora kuliko Cheaman FAM ww4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.
wachukizwe tyu, sie CHADEMA nae tupo kila mahali.Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza,
hajaonyesha bado?ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu.
Be realistic mazee/labda vyeo vya huruma na vya kushinikizwa.Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi.
YanaendeleaMaisha yataendelea
👆🤏👉halafu hapo hapo unasema Mh.Tundu Lissu ni mpango wa Mungu. Mawe😇, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni
mkuu it has been three something years. get a grip, bado tu JPM atusumbue hv?au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
Kura zaidi ya kura😇,hii ni DELUSION, and u can not change that factNi kura tu, au Kuna zaidi ya kura, may be uwizi
Urais wa Tundu Lissu ni hatua za kuikana mizimu ya taifa hili iliyotupambania vita vya majimaji na MALENGO MAKUU YA JMT.....Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,
2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.
3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.
4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.
Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
Omba uhai Kwa Mungu, ushuhudie maajabu y MunguTundu Lissu huyu huyu kibaraka wa makuwadi akina Robert Amsterdam.......
Acheni dhihaka kwa JMT!
#Taifa kwanza!
Mwenyezi Mungu hataki watanzania tuikane mizimu yetu isiyotaka kusikia mbadala wa CCM.....Omba uhai Kwa Mungu, ushuhudie maajabu y Mungu
Utabiri koko....Mbona ilishatabiriwa kitambo tu na aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, africa mashariki na kati. Itakua suprise mama hatoamini.
Mshipa haumpigi.....Ameeeen
Samia akisikia haya anaogopa. Anaongeza machawa maradufu
Sarcasm. .Haipingwi
But it will never happen, be prepared mentally, you will be okayKiuhalisia CCM IPO Kila Kona, na Lissu anafahamika Kila Kona. Halaf Nimegundua Watanzania wanajua makosa ya serikali , pia Nimegundua Watanzania wengi ambao ni wapiga kura ni Neutral hawana chama, wakiitwa mikutano ya ccm wanaenda ya Chadema wanaenda.
CCM mwaka huu lazma waachie nchi
😇🤣Omba uhai Kwa Mungu, ushuhudie maajabu y Mungu
Hahahahahahaha ama kweli hii JF ina watoto wengi!! Lile tumbo ndo litampeleka ikulu?Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,
2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.
3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.
4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.
Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
Mbowe hafai kugombea urais. Hajui kuchachuka yule ana soni usoni .TAL anafitGenuine question: Kuna interview moja nilisikia amesema yeye anataka uenyekiti wa chama na Mbowe anaweza kuwa presidential candidate. Vipi, hilo limeshabadilika?
Kumradhi kama hili swala lilishazungumziwa na limenipita.
Kwani miaka.mingine hua hawajiNimesikia Za Chini chini Umoja wa Ulaya na Marekani watatuma wawakilishi kwenye vituo vyote 12,345 vya kupiga kura, kuwa kama waangalizi