stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Mbowe anaumwa miguu atazunguka vipi wakati bado hajapona?
eti kabla ya tundu lissu kuja tz walifanya mkutno wakiwa wamevaa barakoa alafu wakaenda kumpokea bila barakoa daaah vyama vingine bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anaumwa miguu atazunguka vipi wakati bado hajapona?
Sasa Kama pesa zipo nyingi, mbona jiwe akisema hivyo,hamtaki kukubali🤔?Pesa zipo nyingi sana subiria mungu atende wema
Kama kashindwa kutuangalia hii miaka 5 je ataweza miaka 5 ingine? Jibu lipo wazi haweziiiMagufuli atawaangalia..!
uwezo wako wa kuona ni %?Nikikuambia umri wangu utafaidikaje dogo?
Jamaa kaishi ulaya kwa ugonjwa, alichokileta ni kunyoa kiduku na kuiga mishahara ya 'ulaya'. Sijui kwa nini ulaya anaitaja kama nchi moja? Nchi zote za ulaya hazilipi mishahara kwa wiki sasa yeye anaiga wapi sijui.Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma kulingana na maisha ya sasa yalivyo.
Jengine alilotugusia ni kufuata mfumo wa nchi za Ulaya ambazo hulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wiki badala ya kulipwa kwa mwezi.
..siyo kweli.
..masuala ya familia ni tofauti sana na masuala ya kikazi.
Huo mshahara wako wa mwezi si uu ache huko benki halafu uchukue kila wiki? Kwani ni mpaka raisi akupangie matumizi?
mkuu ni mipango tu hakuna kinachoshidikana mfano serikali ikijipanga vizuri kwenye bahari ya indi tu huko kuna utajiri wa kutosha wa kuweza fanya wafanyakazi wetu kuishi maisha kama ya pepon na je tz kuna vyanzo vingapi vya kuingiza mpesha mpaka tuseme haiwezekani