Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aahidi neema kwa Madaktari, Walimu na Vyombo vya Dola

Mbowe anaumwa miguu atazunguka vipi wakati bado hajapona?


eti kabla ya tundu lissu kuja tz walifanya mkutno wakiwa wamevaa barakoa alafu wakaenda kumpokea bila barakoa daaah vyama vingine bana
 
Jamaa kaishi ulaya kwa ugonjwa, alichokileta ni kunyoa kiduku na kuiga mishahara ya 'ulaya'. Sijui kwa nini ulaya anaitaja kama nchi moja? Nchi zote za ulaya hazilipi mishahara kwa wiki sasa yeye anaiga wapi sijui.
 
Huo mshahara wako wa mwezi si uu ache huko benki halafu uchukue kila wiki? Kwani ni mpaka raisi akupangie matumizi?

..nadhani hujaelewa.

..mshahara unaweza kulipwa kila wiki, kila baada ya wiki mbili, au kila mwezi.

..nyinyi watu wa ccm kazi yenu kupinga kila kitu, hata mawazo mazuri yanayotolewa na vyama mbadala.
 
Huyu shoga anawaza ndoa za jinsia moja atatuambia nini
 

KILA ANAYEWAMBA NGOMA ANAVUTIA KWAKE,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…