Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wewe ndio sijui umeingia mjini lini.hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
Huu ndiyo usomi tunaoutaka, mtu anajitambua na kuitetea taaluma yakeMakamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.
Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.
Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Cha msingi alipelekewa hongo asigombee......mwaka huu kitawaka.Mlivokua hmapendi haki hata mda na huyo kiongozi wa chadema alieambatana nae hamtaki kumjua
Wajinga wataniponda ila mkiwaza vizur mtaona kuna shida hapo
Bhc atakua mnafiki kwann asimtaje na wa chama chake tujue ni kweli?
Alaf kama alikua hazitaki kwann amuambie amletee kwake?
Siasa mchezo mchafu
Hahaha......Impossible..abduli naye afunguke alimpa kiasi gani.
..Na fedha alizohonga zilikuwa kwa malengo gani.
..pia chanzo cha fedha anazohonga.
mshahara ni siri ya mfanyakaziNataka kujua analipwa ngapi?!
Mbunge Lusinde aliwahi kuwambia Wabunge wenzake kwenye kikao cha namna ya kumshawishi Lissu ajiunge ccm.Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Kwanza inabidi tujadili alivyoenda Uganda kukutana na mseven kimya kimyaMshahara wa mzazi ndio kazi yake kuhongea
Tundu hakuhongwa na hakukuwa na fedha za kumhonga. Hizo ni drama tu. Tundu alivyo na shida ya hela kwa maisha anayoishi kwa kuunga unga huko Belgium asingeweza kukataa hela kama zingekuwapo.Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.
Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.
Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.
Pia soma
Tundu hakuhongwa na hakukuwa na fedha za kumhonga. Hizo ni drama tu. Tundu alivyo na shida ya hela kwa maisha anayoishi kwa kuunga unga huko Belgium asingeweza kukataa hela kama zingekuwapo.
Kwanini Tundu asitaje waliohongwa? You can't make an informed conclusion by pieces of information!! Ametuacha na maswali mengi kuliko majibu..je, hakuna waliohongwa na Abduli?
..kwanini anatajwa sana huyo dogo?
..anafanya shughuli, au biashara, gani?
Leta voice clip ya LusindeMbunge Lusinde aliwahi kuwambia Wabunge wenzake kwenye kikao cha namna ya kumshawishi Lissu ajiunge ccm.
Kwa maneno ya Lusinde anasema niliwambia Lissu pamoja na kuwa tunatofautiana kiitikadi ila nakubali ni Mtu Mwadilifu, hahongeki na kwenye kikundi chetu hapa hakuna wakumsogelea.
Lusinde anamaliza kwa kusema kikao kile kiliisha bila kufikia Mwafaka. Hakuna mjumbe aliyejitokeza kumface Lissu
Kwanini Tundu asitaje waliohongwa? You can't make an informed conclusion by pieces of information!! Ametuacha na maswali mengi kuliko majibu
Usomi gani we bwege alikataa ili hela iongezwe hamna jingine.Huu ndiyo usomi tunaoutaka, mtu anajitambua na kuitetea taaluma yake
Mbona amesema kila kitu? Aliambiwa kuwa asimseme vibaya mama wala sirikali yake. Ilikuwa hongo ya kumfunga mdomo.mwanaume unasemaje ulihongwa? yaani wewe sio mtumishi wa umma lumpen tu ulihongwa ili iweje? hawa jamaa vipi? aseme kitu gani walichokuwa wanamshawishi nacho tujue kama kwi ilikuwepo ni ya kuhongwa, eti furushi la hela lilikuwa getini tutaaminije? atuwekee cctv footage
Humjui Lisu. Fuatilia maisha yake kama utasikia aliwahi hata kuhisiwa kula hongo.Usomi gani we bwege alikataa ili hela iongezwe hamna jingine.
Chai.....Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.
Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.
Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.
Pia soma
[emoji7]hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?