Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.

Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.

Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.

Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.

Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Huu ndiyo usomi tunaoutaka, mtu anajitambua na kuitetea taaluma yake
 
Mlivokua hmapendi haki hata mda na huyo kiongozi wa chadema alieambatana nae hamtaki kumjua
Wajinga wataniponda ila mkiwaza vizur mtaona kuna shida hapo
Cha msingi alipelekewa hongo asigombee......mwaka huu kitawaka.

Nguvu ya Lissu iko Wazi 2025 Patachimbika.

Kwanini wanahangaika kumhonga? Ina maana wanaamini Lissu anaweza kushinda kwa Kura?

Time will tell
 
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Mbunge Lusinde aliwahi kuwambia Wabunge wenzake kwenye kikao cha namna ya kumshawishi Lissu ajiunge ccm.

Kwa maneno ya Lusinde anasema niliwambia Lissu pamoja na kuwa tunatofautiana kiitikadi ila nakubali ni Mtu Mwadilifu, hahongeki na kwenye kikundi chetu hapa hakuna wakumsogelea.

Lusinde anamaliza kwa kusema kikao kile kiliisha bila kufikia Mwafaka. Hakuna mjumbe aliyejitokeza kumface Lissu
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.

Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.

Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.

Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.

Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.

Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.

Pia soma
Tundu hakuhongwa na hakukuwa na fedha za kumhonga. Hizo ni drama tu. Tundu alivyo na shida ya hela kwa maisha anayoishi kwa kuunga unga huko Belgium asingeweza kukataa hela kama zingekuwapo.
 
Tundu hakuhongwa na hakukuwa na fedha za kumhonga. Hizo ni drama tu. Tundu alivyo na shida ya hela kwa maisha anayoishi kwa kuunga unga huko Belgium asingeweza kukataa hela kama zingekuwapo.

..je, hakuna waliohongwa na Abduli?

..kwanini anatajwa sana huyo dogo?

..anafanya shughuli, au biashara, gani?
 
..je, hakuna waliohongwa na Abduli?

..kwanini anatajwa sana huyo dogo?

..anafanya shughuli, au biashara, gani?
Kwanini Tundu asitaje waliohongwa? You can't make an informed conclusion by pieces of information!! Ametuacha na maswali mengi kuliko majibu
 
Mbunge Lusinde aliwahi kuwambia Wabunge wenzake kwenye kikao cha namna ya kumshawishi Lissu ajiunge ccm.

Kwa maneno ya Lusinde anasema niliwambia Lissu pamoja na kuwa tunatofautiana kiitikadi ila nakubali ni Mtu Mwadilifu, hahongeki na kwenye kikundi chetu hapa hakuna wakumsogelea.

Lusinde anamaliza kwa kusema kikao kile kiliisha bila kufikia Mwafaka. Hakuna mjumbe aliyejitokeza kumface Lissu
Leta voice clip ya Lusinde
 
Kwanini Tundu asitaje waliohongwa? You can't make an informed conclusion by pieces of information!! Ametuacha na maswali mengi kuliko majibu

..hata Abduli anaweza kutaja aliowahonga ili tuwazomee.

..tuhuma zote hizi kwanini Abduli hatafutwi ili aeleze upande wake?

..Abduli anatoa wapi viroba vya pesa za kuhonga wapinzani?
 
mwanaume unasemaje ulihongwa? yaani wewe sio mtumishi wa umma lumpen tu ulihongwa ili iweje? hawa jamaa vipi? aseme kitu gani walichokuwa wanamshawishi nacho tujue kama kwi ilikuwepo ni ya kuhongwa, eti furushi la hela lilikuwa getini tutaaminije? atuwekee cctv footage
Mbona amesema kila kitu? Aliambiwa kuwa asimseme vibaya mama wala sirikali yake. Ilikuwa hongo ya kumfunga mdomo.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.

Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.

Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.

Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.

Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.

Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.

Pia soma
Chai.....


Ushahidi uko wapi?
 
hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
[emoji7]
 
Takukuru ipi ? Ya Nchi gani zaidi ya hii credit ya Leo? Perfect timing dunia yote ikisikia? Acha upumbavu.
hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
 
Back
Top Bottom