Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ndio maana nikasema hata hivyo, bado ekari milioni 6 ni eneo kubwa sana, na hakuna hifadhi yenye eneo hilo ukitoa NyerereMh. Tundu Lissu aliongelea ekari (acre)
Mleta mada anaongelea kilomita za mraba (square kilometers)
Je mpaka hapo unauona upumbavu uliopo?
Kwa kuwa ni malaika au siyo? PumbavuNdugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Vipi aliyesema kuwa awamu iliopita inayomuhusisha Magufuli walificha pesa nyingi sana China, naye anaheshima ya juuHakika Kwa kiburi chake acha aendelee kuongea ujinga wake atawaponza chadema Kanda ya ziwa
Heshima ya magufuli Hadi Sasa ipo juu naamin ni wengi wanakumbuka Sana utendaji kazi wake
Una akili ndogo sana... hizo acre za huyo tajiri amepewe kwa kisingizio cha uhifadhi. Na ni chanzo cha migogoro mingi isiyoisha pembezoni mwa hifadhi ya SENAPA na NCA!Lissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Wengine mnaongea kirahis rahis tu, hebu vaa uhusika wa LISSU then uchapwe risas zile kama unaua mamba. Then haitakiw uagwe ni ukimbizwe fasta kijijin uzikwe haraka!! Hivi ni chuki na unyama gan kama huo? Unajua ingekua heri kama baada ya tukio kibinadam angeamua kumhudumia kwa gharama yoyote ila hakutaka na kibaya zaid alipiga marufuku ya harakat za kuonyesha kumuombea apone!! Msichukulie poa nyie..!!Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Kuna mahali nilishamwambia yule ripota wao kuhusu hatari ya kumshambulia hayati JPM kiukweli japo Magu hatuko naye ni ukweli usiopingika kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi anayekumbukwa sana na.pia ni kama SI unit ya uongozi kwani aligusa sana maisha ya watu.Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Acha upotoshaji wa makusudiLissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Kimsingi hujaielewa hoja,hoja hapa ni kumtanabahisha Lisu kuwa, 1.Magufuli "alikuwa" kwa sasa sio adui yake aachane nae apambane na waliopo.Hivi:-
-"asilimia kubwa ya Watanzania" umeipataje na kwa hesabu ipi?
-marehemu ameumia alivyosemwa/ukweli ulivyobainishwa?
-marehemu hayupo,panda jukwaani umjibie maana unaumwa hadi kiuno!
-una uhakika kwamba CDM ni ndugu zako haohao waliopata misukosuko wakati akiwa hai?
Anavitoa hapa: Dan Friedkin - WikipediaLissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Friedkin Conservation FundAlafu acres milioni 6 zimetajwa vile vile na jarida la Forbes (Dan Friedkin). Sasa kosa la TL liko wapi au kuyasema kwa Kiswahili??
huwezi kuzuwia watu wasimseme kwa mabaya au mazuri, kumbuka alikuwa ni kiongozi mkuu kuna mazuri na mabaya alifanya katika utawala wakeNdugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Lile lilikuwa ni shetani halisi kabisaMapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.
Mungu amuue tena huko aliko
Tena kwa Kiswahili ni zaidi ya acres milioni 6!!Friedkin Conservation Fund
His Friedkin Conservation Fund (FCF) provides assistance to the Tanzanian government in preserving its protected areas, helps uplift rural communities, and conducts wildlife monitoring and research.
Friedkin Conservation Trust: working to preserve more than 6 million acres in Tanzania.
Ni mwendawazimu tu na mpumbaf ndio anaweza kukejeli kazi iliyofanywa na huyu mzee.Hivi Jiwe huo u Dkt huwa mnampa na wengine mnawita shujaa wenu hizo akili zenu huwa ziko sawa kweli???
Marisasi yote yale. Bila shaka dishi lilishayumba. Hata huwezi kujua anapambania nini. Yeye ni kupayuka tu!Lissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?