Tundu Lissu, acha kumshambulia Hayati Magufuli

Huyu jamaa ana ugonjwa unaitwa Histrionic personality disorder au tuseme attention seeking behaviors
Ni wa kumpuuza tu
 
Kama uliwahi kuishi vijijini huhitaji sana kujiuliza kuhusu Lissu mkuu , anachokifanya anakijua hapo ni kwamba alikuwa anatafuna unyasi ulainike then aingize shimoni yule mdudu ang'ate unyasi alafu avute harka mdudu atokee nje apigwe jua afe,.

Ukitaka kujua hili angalia wamiliki wa kampuni walipojitokeza na kutaja idadi za heka wanazomili tena wanasema wamepewa na kijiji tangu lini kijiji kikampa mwekezaji ekari zaidi ya laki na kitu ? Hapo Lissu amepata ushahidi kamili sasa waende mahakamani sasa watajua hawajui
 
Naicjukia CCM toka moyoni lakini Ukweli usemwe CHADEMA haitakuja kuingia ikulu. Sio Mbowe wala genge lake watakuja kuona ikulu labda labda labda.... Waache kupambana na Hayati Magufuli.
 
Eti Hayati, yaani Jiwe unamwita hayati[emoji848] Hapo hapo eti alikuwa na mapungufu madogo na mwisho unamaliza kuwa alipendwa na Watanzania. Kweli nimekosa jina la kukupa kwani uko huru kutumia kichwa chako upendavyo
Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
 
Ukweli ni kwamba watanzania wengi bado wanamkumbuka sana Magufuli na huwaelezi chochote na ukichanganya na ugumu wa maisha unavyozidi wanafikiri Baba Magufuli angekuwepo kungekuwa na unafuu

Hii issue tu ya mafuta wanaamini Magufuli angesema neno tofauti na sasa mama abdul kajikalia kimya 😁 anajipakia zake 💄💋 anaingia zake ofisini muda wa kutoka ukifika anatoka na hamna la kumfanya nyie pigeni kelele sijui hamna mafuta sijui nini hana mpango mpambane na hali zenu
 
Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
Mh. Tundu Antiphas Lissu, tafadhali endelea kupigilia hapo hapo kwenye mshono. Mwaka 2020 hatukuwa na uchaguzi bali uchafuzi. Kipenzi cha watu hahitaji vyombo vya dola kuiba kura kushinda uchaguzi. Angalia matakataka yaliyojaa bungeni hivi sasa.
 
Sio kila binadamu ni mwenye Hekima 😅🙏🙏
 
Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
Adolf Hitler bado anasemwa kwa ukatili wake miaka mingapi imepita? Itakuwa Magufuli juzi tu? Herode aliyemsulubisha Yesu anasemwa miaka mingapi imepita? Itakuwa Magufuli juzi tu?
 
Spana za Lissu zinahitaji uvumilivu, Lissu sio mtu wa kuchagua Battles yeye anachakakaza haangalii sura wala feelings za kibwengo yoyote.
 
Kuua watu sio mambo machache.
 
Hata Ben,azeory nk, hawakuweza kujitetea lkn waliliwa na chatu.
 
Alipendwa na watanzania gani yule maku.aliokuwa anawateka ? Alopokonya dola? Alolea sabaya? Alieqmuru apewe kilema asie na hatia? AU hujui kuna watu waliliwa tako kwa amri yake?
 
Siasa zinabadilika kwa kasi sana, adui yako asubuhi, ni rafiki yako jioni kadhalika rafiki yako mchana, usiku anaweza kuwa adui yako. Ni ngumu sana kuelewa wakati gani Tundu Lisu anazungumzia machungu yake kama mtu ( binafsi) na machungu ya chama chake au tuseme ya ''wananchi''

Upepo wa kisiasa ulivyo sasa hauruhusu Tundu Lisu 'kumsimanga'' Mhe. Magufuli ( anayedaiwa wakati wa Rais wake kumjeruhi), wala hauruhusu yeye kumtukana au kumbeza Rais wa nchi Mhe. Samia Suluhu kwasababu yeye ndio kamtoa korokoni ya ughaibuni.

Nchi imegawanyika, kuna idadi kubwa ya watu wanampenda bado Magufuli, na pia kuna idadi kubwa sana wanaompenda Mhe. Rais. Kwa kuwabananga wote wawili ( Hayati Magufuli na Mhe Rais), CHADEMA hawaongozi idadi yoyote ya wafuai zaidi ya kuwapoteza.

Tundu Lisu aache kuongelea machungu yake, aeleze mbadala wa yale anayoyaona hayafai, atueleze CDM watafanya vipi tofauti. Pia CDM pamoja na Tundu Lisu waache kuwa watu wa mihemko ( reaction) dhidhi ya serikali ( Katiba mpya, Wamasai Ngorongoro na suala la Bandari)

Watengeneze majibu ya kisera namna watakavyoshughulikia matatizo ambayo serikali imekwama au inapata changamoto. Mfano, wao wana njia zipi za kuendesha bandari, namna gani watafanya bei ya mafuta Sinza iwe sawa na Misenyi etc.....sio kila siku kutafuta siasa za confrontations.

Halafu kwa ushauri tu warudisheni tu akina Halima, watu wote wenye akili wanafahamu nini kilifanyika....
 
Siyo Lisu tu bali wengi wetu tutaendelea kumsema kwa mabaya yake aliyotufanyia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…