Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kwi Kwi KwiHuku nyumbani kinaumanaView attachment 1898825
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi Kwi KwiHuku nyumbani kinaumanaView attachment 1898825
siasa ni nini , na anayejua siasa ni nani ?Brother siasa hujui, jitathimini. Hata hivyo sijazungumzia katiba hapa.
Dah watu mna roho mbaya sasa hivi mnamponda Slowslow wenuAna tofauti gani, na Pole pole alivyokua analala na kuamka Chanel 10 kwenye uchaguzi 2015??
Sijui.Pia alidanganya Magu kasepa sio?
Siasa ni shughuli inayohusiana na uongozi wa nchi au eneo fulani ndani ya nchi, sasa wewe Chunguza aina ya siasa unayofanya... Inshort unafanya uanaharakati.siasa ni nini , na anayejua siasa ni nani ?
Itaendelea kuwaandama na kuwanyima usingizi SIRRO na nyie washikaji wake mpaka kwenu Mwibagi.Moja ya agenda yake ni simulizi endelevu ya kushambuliwa.
Wataanzia wapi mtaa gani kukanusha?Huko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Yaani kutoa taarifa ya mahojiano ya Lissu na VOA au kutoa taarifa za mikutano halali ya Chadema ndio kosa langu , unataka jf yote iimbe kuhusu ccm ? who are you by the way hadi utuburuze unavyotaka ? hii JF yenyewe haijawahi kutupangia huo ujinga unaotaka wewe kutupangia , kuna haja ya kukuweka kwenye Ignore list ili kulinda heshima yanguSiasa ni shughuli inayohusiana na uongozi wa nchi au eneo fulani ndani ya nchi, sasa wewe Chunguza aina ya siasa unayofanya... Inshort unafanya uanaharakati.
Lissu yuko international na pole pole alikuwa localAna tofauti gani, na Pole pole alivyokua analala na kuamka Chanel 10 kwenye uchaguzi 2015??
Our only Tanzanian presidentSiasa za Tanzania upande wa Chadema zimebadilika, hii hali wanayoipitia hivi sasa wakabiliane nayo kwa werevu ili wathibitishe ukomavu wao.
Ni kama vile CCM na polisi wameamua kuwavuruga viongozi wa Chadema ili kuwatawanya wanachama wao, piga kiongozi ili waliobaki wakose uelekeo, na shughuli za chama chao zipoe.
Kumsubiri Samia awaruhusu Lissu na Lema warejee nchini wakati akijua fika huko kutakuwa ni sawa na kuiimarisha Chadema linaweza kuwa suala gumu, asisubiriwe, mapambano yaendelee.
Muhimu viongozi waliopo washirikiane na waliopo nje kupanga mikakati mipya namna ya kufanya siasa, namna ya kuimarisha chama, wananchi wasiachwe walale sababu Mbowe yupo gerezani, madai ya Katiba Mpya yaendelezwe hata kama polisi wanaendelea kukamata wanachama kila kukicha.
Whatever action you take mzee...Yaani kutoa taarifa ya mahojiano ya Lissu na VOA au kutoa taarifa za mikutano halali ya Chadema ndio kosa langu , unataka jf yote iimbe kuhusu ccm ? who are you by the way hadi utuburuze unavyotaka ? hii JF yenyewe haijawahi kutupangia huo ujinga unaotaka wewe kutupangia , kuna haja ya kukuweka kwenye Ignore list ili kulinda heshima yangu
Wewe siasa zako za kimalaya Malaya ndo unazijua?Brother siasa hujui, jitathimini. Hata hivyo sijazungumzia katiba hapa.
wanaccm wanataka hela za tozo ili waongeze wake , endelea mkuuAnasemaje anataka mchango au kakasirika hamtaki kuandamana.
Itakuwa na matokeo hayo kama SIRRO ndiye angekuwa ameshambuliwa. Tangu shambulio liwe agenda kuu ya CHADEMA kupata kiki ya kisiasa, na Lissu mwenyewe kutafuta huruma ndani na msaada nje ya nchi, wamefanikiwa nini. Mhusika anaendelea kuuguza majeraha wakati dereva wake, huko aliko, anakula bata. Unganisha dot, usiwe na mawazo ya kinyumbuItaendelea kuwaandama na kuwanyima usingizi SIRRO na nyie washikaji wake mpaka kwenu Mwibagi.
Wafuasi wa CHADEMA humu JF huwa hawana hoja bali VIOJA. Ukitofautiana na walichokiandika au ukijenga hoja dhidi ya CHADEMA, na hasa Mbowe (Mungu wao), ni matusi utaporomoshewa. Na ni wao hao wanadai demokrasia. UTOTO tuuuuu.Whatever action you take mzee...
Hayo uliyo andika ni mawazo yako. Nilicho zungumza ni aina ya siasa uzifanyazo sio siasa ni uanaharakati na umeniuliza nini maana ya siasa.
Umeguswa kidogo tu unakimbilia CCM, jenga hoja Chief, mimi CCM sio baba yangu wa mama yangu na sio kila mtu anae kwenda kinyume na wewe ni mwana CCM au analipwa kama hoja yako uliyotoa kwenye reply za mwanzo na reply unazo wajibu watu kila mara wanao kwenda kinyume na wewe.
Therefore who are you by the way hadi nikuogepe kuniweka kwenye ignore list? Na ni wangapi utawa ignore? Njia pekee ya kupambana na kuonesha ufia nchi wako ni ku accept challenges.
Big Time.
LMFAO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]