Tundu Lissu afanya Mahojiano na Voice Of America (VOA)

Tundu Lissu afanya Mahojiano na Voice Of America (VOA)

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)

Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .

View attachment 1898806

View attachment 1899695
LEADING QUESTIONS, WORSE THAN BBC:

Swali la kwanza: RAIS SAMIA ALIPEWA MATUMAINI SANA ALIPOINGIA LAKINI SASA YAMEANZA KUYEYUKA. NINI MAONI YAKO?
La pili: RAIS WLIAH8DI ATAONANA NA WAPINZANI LAKINI SASA ANASEMA ITAKUWA NI KWENYE JUMUIA ZENU. HILO UNALIONAJE?
 
Back
Top Bottom