Kwa vipi ni nje ya mada??? Huyo ni mzushi na sadist...utasemaje mwenzio amekufa wakati siyo kweli? Kumbuka huyo aliyesingiziwa ana Ndugu zake na watoto..je kwa taarifa hizo za kizushi familia yake ilijisikiaje?nje ya mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vipi ni nje ya mada??? Huyo ni mzushi na sadist...utasemaje mwenzio amekufa wakati siyo kweli? Kumbuka huyo aliyesingiziwa ana Ndugu zake na watoto..je kwa taarifa hizo za kizushi familia yake ilijisikiaje?nje ya mada
Kwa hiyo alifika kwa sababu ya spana za Lisu?Bado hujazijua Spana za Lissu , Muulize jiwe alifikaje Mzena
Huyo siyo brother ni motherBrother siasa hujui, jitathimini. Hata hivyo sijazungumzia katiba hapa.
Ndio maana jamaa yao kigogo amewageuka sasa hivi anawaita intaharamwe!Wafuasi wa CHADEMA humu JF huwa hawana hoja bali VIOJA. Ukitofautiana na walichokiandika au ukijenga hoja dhidi ya CHADEMA, na hasa Mbowe (Mungu wao), ni matusi utaporomoshewa. Na ni wao hao wanadai demokrasia. UTOTO tuuuuu.
uongo mtupu !Wafuasi wa CHADEMA humu JF huwa hawana hoja bali VIOJA. Ukitofautiana na walichokiandika au ukijenga hoja dhidi ya CHADEMA, na hasa Mbowe (Mungu wao), ni matusi utaporomoshewa. Na ni wao hao wanadai demokrasia. UTOTO tuuuuu.
mbona unauliza majibu ?Kwa hiyo alifika kwa sababu ya spana za Lisu?
Kumbe nae ni mjinga kiasi hicho?mbona unauliza majibu ?
..kwanini visiwe na muda nae mtu aliyeporwa ubunge wake baada ya kupigwa risasi na kupona kufa na watuwasiojulikana (lakini wanajulikana kwa serikali ya mwendazake)....wewe ndie kenge usiejua unachosema..Bado kuna vyombo vya habari vina muda wa kupoteza na Lissu really?
Heri kuishiwa hoja kuliko wewe uliyeishiwa akili na hoja ukaniita mie kenge wakati ni baba yako. Huoni hapo?umeishiwa hoja ?
...hana hoja huyu sukuma gang.....utawajua tu kwa majibu yao....umeishiwa hoja ?
Siasa wanawezana waoHuko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Ukipenda chongo huta kengezaHuko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!
And nobody has ever held him to account!
Lakini si Magufuli mwenyewe COVID-19 ilimchukua? Kwani huo ulikuwa uzushi!nje ya mada
Kichwan mtupu....!!!Itakuwa na matokeo hayo kama SIRRO ndiye angekuwa ameshambuliwa. Tangu shambulio liwe agenda kuu ya CHADEMA kupata kiki ya kisiasa, na Lissu mwenyewe kutafuta huruma ndani na msaada nje ya nchi, wamefanikiwa nini. Mhusika anaendelea kuuguza majeraha wakati dereva wake, huko aliko, anakula bata. Unganisha dot, usiwe na mawazo ya kinyumbu
Motives Mzee baba.Bado kuna vyombo vya habari vina muda wa kupoteza na Lissu really?
Angalau sasa hivi anaonekana hanyoi "panki" tena; ameanza kukomaa.Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala ya kisiasa na kidemokrasia anahitajiwa na Vyombo karibu vyote vikubwa vya Marekani kwa ajili ya Mahojiano , Sisi tayari tunaye mwakilishi kwenye ziara yake hiyo na tutajitahidi kuweka video za mahojiano yake yote hapa hapa JF kwa ajili ya faida ya wadau , Endelea kututegea sikio .
View attachment 1898806
😆😆😆Lakini si Magufuli mwenyewe COVID-19 ilimchukua? Kwani huo ulikuwa uzushi!