Tundu Lissu afanya Mahojiano na Voice Of America (VOA)

Hivi kwanini umasikini wa akili na hela unafanya mtu kuwa mwehu ?
Uko sahihi kwa kujiangalia maana hunijui mimi. Kwa hili nakubaliana nawe kuwa umaskini wako wa akili utakutuma siku moja uniPM nikusaidie kwa vile ninazo ndo maana nina uwezo wa kuendelea kupambana nawe wakati huu ambako nyumbani ni usiku. Tia akilini Dk Father of All
 
Ndiyo VOA hawa hawa walioripoti kuwa Dr Magufuli alipelekwa Kenya kwa matibabu na kuaminisha dunia hivyo? Ndiyo VOA hawa hawa waliyoripoti kuwa mwaka jana Tanzania yungeokota maiti ambazo zingezagaa barabarani kutokana corona? Ni VOA hawa hawa wanaokaa kimya kila siku kwa mauaji ya kikatili yanayofanywa Marekani? Ama kweli Lissu thamani yake imeisha kabisa!
 

Akipenda alale kwenye TV networks na social media, but he remains a worthless puppet!
 
Huko VOA ndo alikozusha mlinzi wa Magufuli kafa kwa C-19!!

And nobody has ever held him to account!
Na pm je alivyotudanganya Watz tena akiwa ndani ya msikitini kwamba Meko yupo ok na anachapa kazi wakati kiukweli alikuwa hoi au tayari inawezakana alikuwa ashafyekwa na corona..??
 
Mungu akubariki kamanda Erythrocyte, mchango katika kuikomboa nchi hii tunauona na kuuthamini. Endelea kutujuza
 
Please make sure unatuwekea video clip
 
Pole ndugu, naona wote ndio mnazidi kuweweseka.
Kwa Mungu hakuna tofauti kati ya alietenda ushetani huo na nyie mnaoushabikia na kuushangilia. Wote mtakujalipa kwa dhambi hii na tayari dalili zimeshaanza kuwa wazi. AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…