Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Hivi kumbe bado kuna watu wanasoma haya magazeti yetu yaliyopigwa spana na Jiwe?Chaajabu hutaiona hii habari kesho kwenye magazeti.
Hao wanajitambua. Hata wangefukuzwa kazi, ninaamini wangeenda uraiani wakiwa na AMANI ya moyo.RPC na OCD kadhaa wamehamishwa baada ya kukataa maelekezo
Tupo mkuuHivi kumbe bado kuna watu wanasoma haya magazeti yetu yaliyopigwa spana na Jiwe?
...na ni kosa kubwa na 'lisolosameheka' kuamini na kumpigia kura 'rais' wa ajabu (Magufuli,)alieyewahi ku 'exist' tangu kuumbwa kwa Tanganyika.Ni kosa kubwa kisheria kutamka kuwa wanaoamini Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania na Mgombea mwenyewe ni Wapumbavu.
Haya maneno mengi hakuna tofauti na ya sisi watafuta PAPA.“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa ‘victimized’ wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.
Kila mtu na udhaifu wake lkn hauwezi kulingana, udhaifu wa Mwinyi ni tofauti na udhaifu wa Kikwete, Magufuli ni tofauti na wa Lissu.Haya maneno mengi hakuna tofauti na ya sisi watafuta PAPA.
Ukiisha pata aandike maumivu hakuna kutimiziwa.
Sasa NYUMBU Kwa akili zenu mnaona mmepata mkombozi kumbe ni taabu zaidi.
Kwani Polepole hajawalipia faini.Agusie na jinsi atakavyowatetea James Delicious na Amber ruty kwenye hukumu yao
Dunia ni kijiji mkuu nchi zinategemeana ndio maana viongozi wako wengi huenda kutibiwa Apolo India hata Dreamliner haikutengenezwa Chato Geita imetoka kwa mabeberu.Sasa hapo ndipo ninapotofautiana na Lissu. Ubeberu ni real, na asitufanye kwamba hatuoni uhuni wa mashirika makubwa ya kibeberu yanayojikita katika nchi maskini yakitake advantage ya mifumo mibovu ya usimamizi wa raslimali na serikali za nchi za kimagharibi.
Pili, kauli za style ya Lissu anayeizungumzia nchi yake kama isiyojiweza na inayetegemea serikali za magharibi ili tuishi ni kauli za kipumbavu mtu yeyote huru na anayejiamini na anayoipenda nchi yake hawezi kuiunga mkono. Kwamba sisi hatuwezi kujitegemea? Huku kujidharau abaki nako yeye, sisi tunaweza na tunajiweza inferiority complex aliyo nayo yeye ni yake mwenyewe.
Wasanii wasio CCM nadhani ni Roma Mkatoliki pekee wengine wote wapo kuunnga mkono juhudi zisizo na tija!!! Najua unajua ila unajifanya juha!!Agusie na jinsi atakavyowatetea James Delicious na Amber ruty kwenye hukumu yao