Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
First you accused the government of enacting laws without respecting the due processes. Asked to name at least one law in particular which was passed undemocractically you moved your quiries to different matters.Interest of the party not you personally. Rest of what you wrote, you miss me with that, it's an insult on both our intelligence. Sheria zinapita kwa hati ya dharura kitu ambacho sijawahi kuona kabla ya awamu hii, kwa kuungwa mkono na asilimia 100 ya chama (Kati ya mamia ya wabunge hakuna hata 1 anayewaza tofauti ) halafu ndani ya mwaka inabadilishwa pengine kwa presha ya wahisani. Kama sio failure ya chama kufanya kazi yake, acquiescing to the whims of one one man, ina maana hawa wabunge hawakuona hayo mapungufu hadi mhisani akawaonyesha? Hiding behind empty rhetoric of due process is played out, Nyerere alishtakiwa kwa uchochezi, Mandela alifungwa, huku due process ikifuatwa. Hata hivyo, taratibu zisipofuatwa kwenye procurement za serikali haya mahaba ya kufuata taratibu yanaendaga wapi?
I know you are smarter than you present, it's only fair you accord your readers' intelligence the same level of respect.
Sheria kupita kwa hati ya dharura sio mara ya kwanza ata wakati wa JK kuna sheria za Mafuta na Gas wakati Muhongo akiwa waziri wa nishati na madini hilo lilishafanyika.
Kingine laws are proposed by humans and some attempt to reinforce the moral views of those in power. Trouble with that whenever morality is involved there is bound to be clash of opinion.
Powerful nations can get away with ‘legal positivism’ arguments on moral issues that the government has the mandate to do so.
Whereas the same rule does not apply to poor nations. Laws which clash with western moral views can lead either government pressure to be changed or encounter penalties for failure to comply. Na utakuta watu kama nyie ndio mnachochea huko mitandaoni serikali yenu iwe sanctioned.
Lakini aina maana hata huko kwenye liberal democracy sheria zote zina merit and public support. Besides malalamiko yapo so general aupo specific unalalamikia sheria gani wala aspects zipi ndani yake; surely you’re better than that.