... "suti kali" wanazovaa watumishi wote nyumba kubwa, mjengoni, n.k. zimetoka huko huko; hadi ch*p* wamekusitiri halafu domo halipungui shombo dhidi yao.Hawana akili kabisa! Hizo korosho soko ni kwa hao wazungu na Asia, dhababu soko ni kwa hao wazungu na Asia. Fedha za kigeni tunategemea utalii kutoka kwa hao wazungu na Asia alafu inapiga kelele hapa Eti mabeberu, sijui ukoloni mamboleo. CCM ni wajinga sijawai kuona 😂😂
Tunahitaji uhuru kamili sio wa kuwa censored au kupangiwa cha kusema.Nashangaa mnasema anaongea, mbona yeye anapita kila mahali anasema tanzania haiko huru kuongea?? wakati huo huo anaongea!! Kichaa Lissu hana sifa hata moja ya kuwa Rasi hata wa TFF
Ni ujinga kusema eti sasa hivi chadema wako organized kulilo enzi za Slaa na Lowasa
Mara nyingi wapumbavu huwa hawajielewi kama ni wapumbavuNi kosa kubwa kisheria kutamka kuwa wanaoamini Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania na Mgombea mwenyewe ni Wapumbavu.
Yeye mwenyewe Lissu hana uhuru kwa wazungu waliomtuma wamemfanya kama panya wa maabara wamemfunga devices mwili mzima asije akawatoroka na madeni baada ya kukosa urais aliowaahidi kwamba atapata wakati anajua wazi kwamba anaonhea usanii mtupu na sio sera ya chama chake, ni kichaa peke yake atakayempigia kura LissuTunahitaji uhuru kamili sio wa kuwa censored au kupangiwa cha kusema.
Wewe kweli kishoka wa uchumi!Hajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.
Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.
Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;Hajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.
Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.
Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Kuna nchi ambayo haifanyi censorship??Tunahitaji uhuru kamili sio wa kuwa censored au kupangiwa cha kusema.
"Kama wazungu wasingekuepo waafrica tungekua tunachinjana kama kuku " Mark my words!!Sasa hapo ndipo ninapotofautiana na Lissu. Ubeberu ni real, na asitufanye kwamba hatuoni uhuni wa mashirika makubwa ya kibeberu yanayojikita katika nchi maskini yakitake advantage ya mifumo mibovu ya usimamizi wa raslimali ya serikali za nchi maskini.
Pili, kauli za style ya Lissu anayeizungumzia nchi yake kama isiyojiweza na inayetegemea serikali za magharibi ili tuishi ni kauli za kipumbavu mtu yeyote huru na anayejiamini na anayoipenda nchi yake hawezi kuiunga mkono. Kwamba sisi hatuwezi kujitegemea? Huku kujidharau abaki nako yeye, sisi tunaweza na tunajiweza inferiority complex aliyo nayo yeye ni yake mwenyewe.
Kumbe akili yako ni fupi namna hii.....!!Agusie na jinsi atakavyowatetea James Delicious na Amber ruty kwenye hukumu yao
Ndugu mimi ni raia tu wa kawaida na wala sina mpango wa kuajiriwa serikalini wala kugombea nafasi ya siasa leo wala kesho.Wewe ni mnufaika binafsi wa uwepo wa Magufuli, hujali shida wanazopata wananchi maskini wàsiojua kesho watakula nini. Nyie endeleeni kusifia uwanja wa ndege Chato kwa sababu ukienda likizo toka hapo Wizara ya Mambo ya nje ulipopachikwa na baba yako unapanda ndege kwa amri ya baba yako.
Kweli ww kilaza aka kiaziHajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.
Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.
Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Nilifikiri umekuja na facts.Yeye mwenyewe Lissu hana uhuru kwa wazungu waliomtuma wamemfanya kama panya wa maabara wamemfunga devices mwili mzima asije akawatoroka na madeni baada ya kukosa urais aliowaahidi kwamba atapata wakati anajua wazi kwamba anaonhea usanii mtupu na sio sera ya chama chake, ni kichaa peke yake atakayempigia kura Lissu
Fala sana wewe. Hivi unajua kwenye familia yako akina James Delicious wapo?Agusie na jinsi atakavyowatetea James Delicious na Amber ruty kwenye hukumu yao
Haya ma misukule ya Lissu ni mehu, hayaamini chochote zaidi ya utapeli wa Lissu aliyefungwa Devices na wazungu asijewayotoroka na madeni yaoKuna nchi ambayo haifanyi censorship??
Kama iko hivyo kisa cha Snowden kukimbia US nini??
Kwanini Julian Assange bado naye ni mkimbizi mpaka sasa??
Muulize Lissu anaenda King Faisal Hospital haraka haraka kufanya nini??Nilifikiri umekuja na facts.
Au na wewe ni Aunt Moody nini??Fala sana wewe. Hivi unajua kwenye familia yako akina James Delicious wapo?