Alirudi lini na alifika lini?Tatizo lako ni kuangalia TBC na Chanel ten muda wote sasa utajuaje kama aliwahi kufika Ikungi?
Hizo tv stations unazoangalia zenyewe zinakaa kichuki chuki na kichawi chawii ukitaka kutoka kifungoni achana nazo kwanza.
Wacha upumbavu wako wewe.Hapa yuko wapi? Hujielewi umekalia kupotosha na muongo mkubwa wwNi jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Jibu hoja Sio vihoja....weka ushahidi wa lissu kufanya lolote la maana huko Singida MasharikiInaonyesha hujui hata unacho kiandika.
Akianzia campaign nyumbani si mtasema ni mkabila, sijui ni mkanda !!.Nimehoji kuanzia alipokuja Tanzania.
Nimehoji speech zake.
Nimehoji kabla ya kuondoka kwake.
Usijibu kisanii jombii jibu hoja....
yaani anaahidi mkate nyumba za jirani wakati home kuna uporo wa ugali??
unasubiri kugombea urais ndio uwajali wazazi wako? mataga mna tatizo gani lakini? hahahaMimi sigombei Urais Mazee
Alienda tarehe ngapi?Wacha upumbavu wako wewe.Hapa yuko wapi? Hujielewi umekalia kupotosha na muongo mkubwa wwView attachment 1568734
Chato kulikuwa na Taa za barabarani kabla ya Singida.by the way kwa miaka 20 hata kama hakuigusa chato lakini aliibadilisha Tanzania.
sasa nitajie huyo mlalamikaji wenu kaifanyia nini Singida Mashariki ??
Sasa Kama hujui kuwa toka amerudi hajaenda kwao we si unashida.Jibu hoja Sio vihoja....weka ushahidi wa lissu kufanya lolote la maana huko Singida Mashariki
Sio issue ya kuanzia kampeni nyumbani ...ni issue ya kwenda kuwasalimu wapiga kura waliowahi kumpa dhamana....Akianzia campaign nyumbani si mtasema ni mkabila, sijui ni mkanda !!.
Kama mnakubalika "Jingalao". Acheni figisu wananchi waamue mustkbali wao .
Mambo kama ya kuengua wagombea wa upinzani ni uoga . Lakini pili wakurugenzi na watendajj kuwakimbia wagombea ni zaidi ya uoga.
Baada ya kuchukua fomu Dodoma, Lissu alinda kwao Mahame na du ia inajuaNi jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Lione na hiliOhh masikini mataga
Kule kwao singida unaambiwa hata nyumba hana
Huwa anaawaambia Wanasingida nyie siwasaidii Kwasababu mnaichagua Ccm
Kwa Tanzania kwake ni tegeta tu
Akienda Singida baada ya kuchukua fomu ya uraisi DODODMA.Alirudi lini na alifika lini?
Lisu ana tabia ya kutojaliNi jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
MpelekeNi jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Tatizo lako umekomaa na TBCSio issue ya kuanzia kampeni nyumbani ...ni issue ya kwenda kuwasalimu wapiga kura waliowahi kumpa dhamana....
Kwa sababu ya arrogance huwa haendi jimboni na baada ya kurudi aliamua kuwasusa haswa
Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
[emoji116]Jibu hoja Sio vihoja....weka ushahidi wa lissu kufanya lolote la maana huko Singida Mashariki
Wacha upumbavu wako wewe.Hapa yuko wapi? Hujielewi umekalia kupotosha na muongo mkubwa wwView attachment 1568734
Nimemiliki simu kabla ujazaliwa; napajua Chato na Magufuli zaidi unavyodhani. Kikubwa ni hoja yako haina mashiko; nimejenga adi kanisa la humo mlimani.Umesahau kuwa kuna thread humu mkilalamika alivyoipendelea Chato akiwa waziri?Tatizo lenu mmenunuliwa simu halafu hamjapewa uwezo wa hoja