Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kila nikikujibu mods wanafuta kwa usalama wa psychology yako.Shukuru.anavaa magagulo siku hizi[emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nikikujibu mods wanafuta kwa usalama wa psychology yako.Shukuru.anavaa magagulo siku hizi[emoji38][emoji38]
Kama naliona boxer lako lilivyo elemewa na gogoMabenchi matupu. Mpaka watu wa chache kijijini kwao wamemkataa.
sababu unatoa jibu lisilo sahihi kwa swali husika.Kila nikikujibu mods wanafuta kwa usalama wa psychology yako.Shukuru.
Ungemueleza tu kwamba hakukuwa na mafuso ya kuwabeba washangiliaji.Kama anazo akili kichwani angeelewa kwamba Lissu haku-publicise misa ya shukrani ili vizabizabina kama yeye waende kupiga naye picha😂😂😂😂Kama naliona boxer lako lilivyo elemewa na gogo
Haya matusi yenu ndio yanafanya vyombo vya habari vinaogopa kua live kwenye mikutano yenu. Mimi nawasihi waendelee kuwaogopa kwasababu sheria zipo.Kama naliona boxer lako lilivyo elemewa na gogo
Hivi ikitokea umeoneshwa matusi utayatambua?Au ukielezwa ukweli unajua umetukanwa?Kwapa la mende!😂😂😂😂Haya matusi yenu ndio yanafanya vyombo vya habari vinaogopa kua live kwenye mikutano yenu. Mimi nawasihi waendelee kuwaogopa kwasababu sheria zipo.
Mkuu pole sana usilie mchezo wa siasa ndiyo ulivyo. Siku mkibadilika na kuacha matusi, vyombo vya habari vitarusha matukio yenu live kwa kujiamini.Hivi ikitokea umeoneshwa matusi utayatambua?Au ukielezwa ukweli unajua umetukanwa?Kwapa la mende!😂😂😂😂
Mmeshadata dadeeeki hiyo ndiyo cdm yaani ni sawa na maji, usipo yanywa basi utayaoga.Haya matusi yenu ndio yanafanya vyombo vya habari vinaogopa kua live kwenye mikutano yenu. Mimi nawasihi waendelee kuwaogopa kwasababu sheria zipo.
Nani anategemea TBC yenu?Mkuu pole sana usilie mchezo wa siasa ndiyo ulivyo. Siku mkibadilika na kuacha matusi, vyombo vya habari vitarusha matukio yenu live kwa kujiamini.
Amina .Palipo na Mungu halishindikani jambo
Huyo mgombea mwenza si ni muislam jamani
Amina mkuu!We Mungu, muumba wa mbingu na nchi umpe yaliyo ya heri huyu mja wako. Aishi maisha marefu yenye neema na utukufu wako hata akawashangaze maadui zake.