Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Rubbish, kama huna hoja yoyote sio lazima kuandika
Sina hoja!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish, kama huna hoja yoyote sio lazima kuandika
UMkuu tuelewane vizuri, naamini hakuna mtu (hata awe mpinzani wa Magu) atakataa kuwa tukidhibiti wizi wa rasilimali zetu (ikiwemo madini) wote tutanufaika.
Na alipoanza hiyo move hata wapinzani walionesha kumsapoti na ndio maana wakajitokeza kutoa maoni (Lissu na Zitto wakiwemo) kuhusu namna nzuri ya kulinda, kudai na kutetea rasilimali zetu.
Kinyume chake akawageuka na kujibinafsishia ule mchakato (sijui kwa nia njema au mbaya) na kuanza kuwaita wengine wasaliti. Ilibidi watu waanze kuhoji kama ana nia njema kwa nini hataki ushauri wa wengine kisa tu ni wapinzani wake kisiasa?
Akaanza kupiga vijembe kwenye press na mikutano yake na kuwaita wengine vibaraka wa mabeberu, ndipo nao wakatoka mbele ya umma kueleza kuwa anachokifanya kitaligharimu taifa na hatutafanikiwa badala yake tutaingia hasara zaidi.
Ndipo hapo issue ya kina Lissu kuomba taarifa Barrick ili wauoneshe umma kile kilichoingiwa kwenye mikataba kati ya serikali na Barrick ili waujue ukweli.
Kinyume chake Magu akatoka tena kusema hawa anaowaita wasaliti wanapeleka siri za nchi kwa Barrick. Sasa unajiuliza ni siri ipi inayozungumzwa wakati ni vitu vilivyo kwenye mikataba?
Miaka mitatu leo, kuna mtu anaweza bisha kuhusu ushauri aliotoa Lissu?
Kwamba hakuna tutakacholipwa, makinikia yataondoka bure, tutashitakiwa na tutaliingiza taifa kwenye mgogoro na wawekezaji?
Hadi leo migodi imesitisha uzalishaji, watu wamepoteza ajira, serikali inakosa mapato (hata yale kiduchu), wawekezaji wanaiogopa Tz, taswira yetu kimataifa imeharibika.
Na kibaya watu wanaangalia tu migodi ya Barrick, mkuu kuna mgodi wa Shanta mining mkubwa pale Ikungi kwenye jimbo la Lissu hadi leo jamaa hawajaufungua kutokana na sera za awamu hii. Jamaa wameuweka under maintainance hadi watakapo jiridhisha ni safe kwao wataweka pesa zao waanze kuzalisha. Tunakosa mapato, ajira na mzunguko wa fedha kwa sababu za hovyo kisa ubabe wa mtu mmoja asiyetaka kushauriwa.
Ninyi kutwa kuchwa na mawio si mnasema hao jamaa hawashindwi kitu? Mbona sana kama unadharau uwezo wa 'mabeberu! ?Mabeberu ndio waliong'oa CCtv camera na kuondoa walinzi eneo la tukio?
Acha uzwazwa, waliotia hasara nchi unawasamehe, halafu anaetetea maslahi ya nchi unamuadhibu, hivi nyie mnao muabudu jiwe akili zenu ni matope?Lisu kama alikuwa anafanya hivyo alistahili alichopata!
Nilitoa maoni humu kwamba, huenda Lisu zile harakati zake za toka miaka ya 90 kupigania madini zilikuwa zinamnufaisha yeye binafsi ndio maana alipoona Jpm yuko serious akaamua sasa ageuke kinyonga.
Kuhusi hao waliosaini mikataba, hao tunawasamehe maana walikuwa enzi na akili za kimangungo!
Lakini haka kajamaa haka kako kizazi cha wasomi kumbe kana uza nchi live?
Kwahiyo T. Lisu amekiri hadharani kuwa yeye ndio msaliti wa nchi hii? Au nimeelewa vibaya.
MAGUFULI4LIFE.
Watu wenye akili kama za kuku ndo wanaambiwa taratibu hazikufuatwa na wanakubali na hata wanadiriki kuandika ujinga huo mtandaoni. Lakini wenye akili tunajua huo ni uongo ulio wazi kabisa. Kwani nani hajui kuwa Samwel Sitta alijipeleka mwenyewe kutibiwa huko Uulaya hadi aliposhindwa kumudu gharama gharama ndo akaomba serikali imsaidie ikafanya hivyo? Hakuwa na reference ya Muhimbili kama watu wanaokaririshwa wanavyodai. Kibaya zaidi huyu alikuwa ameshastaafu Uspika. Msituletee pumba zenu.Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo
Rubbish, waliosaini mikataba yeye jiwe akiwemo ndani ya serikali, hakuwachukulia hatuayoyote, na alichosema lissu in kuwa tutashtakiwa, na kweli tunashtakiwa, na kusema ukweli lini no usaliti? Nyinyi wanafiku wakubwa wapenda madaraka ndio mlipiga majofi na kuwazomea wabunge waliokua wanapinga hii mikataba Leo mnajiita wazalendo!Kasome kuhusu Huria Mhiti katika msahafu wa Kikristu. Mmoja wa makomandoo 30 mahiri na watiifu kwa Mfalme Daudi, Huria mhiti. Alishindwa kuelewa, kutafsiti na kutii amri halali ya mfalme Daudi ili afiche aibu ya mfalme. Aliamriwa aende akalale nyumbani kwake ambapo mke wake alipewa ujauzito na mfalme Daudi Huria akiwa mstari wa mbele vitani.
Huria akafikiri kwenda kulala nyumbani kwake maana yake ni lazima ulale na mkeo. Na ilikuwa mwiko kwa wayahudi kushiriki tendo la ndoa wewe ukiwa askari mstari wa mbele wakati wa vita. Ilikuwa ni kulinajisi jeshi lote. Huria akakaidi amri ya Mfalme akalala getini na walinzi wa jumba la mfalme. Matokeo yake lengo la kwanza la mfalme kuficha aibu yake halikufanikiwa. Ikabidi mfalme atumie njia mbadala ambayo iligharimu maisha ya wanajeshi wengi mno na kikosi cha jeshi la Isreli kilichokuwa mstari wa mbele kikapata kichapo cha mbwa koko na Huria alikuwa mmoja wapo walio uwawa siku hiyo
Ndiposa tunasema mamlaka hizi zinazo tawala watu zimewekwa na Mungu. Daudi aliadhibiwa na Mungu mwenyewe kadiri alivyoona inafaa Daudi akatubu na matokea yake mwanae mwingine Daudi aliyempata na mke wa huyu mhanga yaani mama Huria akawa ni Mfalme Suleinani mtu ambaye alikuwa ni mwenye hikma haijawahi kutokea duniani na hatatokea. Na Bwana Yesu akawa ni mzao wa Daudi.
Hivyo to some of us wala hizo kelele za Lissu ambazo anapayuka hovyoo bila ya kutafuta hekima ya Mungu ni kazi bure na uharibifu mtupu kwake. Yeye angalimuliza Mungu wake kwa nini umenipitisha njia hii? Kuliko kuendelea kupayuka payuka bila utaratibu akifikiri atapa huruma kwa wanadamu. Huruma ya kweli unaipata kwa Mungu mwenyewe mh, Wala si hii unayoitaka ya kimaslahi zaidi labda eti utakuwa rais.
Mimi nitamuambia sababu ninazo ziona ambazo zote zimejengwa katika msingi wa tamaa zake zakujipatia kipato bila ya kujali ana kipata vipi. Wamedanganya watu wakaingia kupambana na vyombo vya dola na baadhi yao wakapoteza maisha na wengine wakawa vilema. Makaninikia usaliti wake ni ili apate fedha. Hivyo hivyo ukodishaji wa cdm kwa EL.
Mkuu, ukiacha hii nimeona comments zako huko juu pia, nahisi una tatizo la comprehension. Maana unapojibu hoja, mtu anaweza akahisi umemquote kimakosa.Mtasema yote matapeli wakubwa nyie wa Watanzania. Kwa hiyo wao Lissu na Zitto walitaka wajipatie maslahi binafsi ikiwemo political mailage sio?! Na umesema vizuri na kuweka wazi kuwa wanajua kuna maslahi wanayapata katika mambo hayo. Wakafikiri wenzao watafaidi kama wao walivyokuwa wanafaidi hivyo pengine huko nyuma. Jawabu kwao likawa ni kuhujumu mchakato mzima sio. Hawa ndio baadhi ya viongozi wetu. Kazi ipo.
Kwani wewe hukuwepo hapa Tanzania na ulikuwa husikii alivokuwa anapigwa vijembe. Ila jiulize kama ni kweli kwanini alikuwa hashitakiwi na wakati vyombo vyote vya dola viki chini yake ni wazi nia ilikuwa kumchafu kumbuka if you want to kill a dog give it a bad name
muda Wa kampeni bado, ukifika atasema na kunadi Sera zao, kwa sasahivi fahamuni muuaji ni Nani!Sijaelewa, kwahiyo anaomba kuchaguliwa sababu alipigwa risasi? Yeye ni wakwanza kupigwa risasi? Tumeshuhudia hadi askari wakipigwa risasi sembuse yeye? Atupe sera ataifanyia nn TZ sio blah blah.
Kisha tunamuona muuaji akipiga magoti madhabahuni kwa unyenyekevu fake. Mungu anadhihakiwa sana na wanasiasa wenye roho za kishetani
Hivyo vituko utavipata Tanzania pekee!Nyie mataahira huwa bado tu mnamuamini huyo Meko?
Huyo Deo Mwanyika ambaye alisemwa kutoa taarifa kwa Lissu na baadae kushtakiwa kwa makosa zaidi ya tisini yakiwemo ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha na baadae kuachiwa baada ya kulipa approximately 1.5b after plea burgain, jana kapitishwa kugombea ubunge huko Njombe kwa tiketi ya ccm.
Sasa kama alikuwa anasaliti mahakama si zipo na ushahidi mlikuwa nao kwanini hamkumshitaki kwa hilo kosa maana usaliti ni kosa la jinai. Hivi mtu una vyombo vyote vya ulinzi na usalama halafu unasema kuna mtu anaiba mali ya umma na tunayo mawasiliano ya ushahidi laki humkamati sisi wananchi tutamini hicho unachokisema kweli
Ni Yesu sio Mungu, au ulimsikia vibaya Kangi Lugola! Ila pia inasemekana Yesu ni Mungu kwa upande mwingine uko sahihi.Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Kama movie hiviView attachment 1543623
Mgombea Urais wa Chadema katika uchaguzi mkuu ujao mwishoni mwa mwaka huu, Tundu Lissu, ametoa madai mazito mjini Njombe jana katika ziara zake za kutafuta wadhamini, akimuhususisha Rais, kuhusu jaribio la kuuawa kwake, lililofanyika September 7 mwaka 2017.
Akihutubia umati wa wananchi, alikumbushia historia ya tukio lake la kumiminiwa risasi, ambapo aliponea chupuchupu kuuawa na kukimbizwa nchi za nje kwa matibabu.
Akisimulia mkasa huo alieleza kuwa kuna "connection" kati ya hotuba aliyoitoa Rais Magufuli, ya uzinduzi wa ripoti ya tume ya madini, masaa takribani mawili, kabla ya kupigwa kwake risasi, aliyotoa akiwa Ikulu, jijini Dar-es-Salaam.
Aliendelea kueleza kuwa katika hotuba hiyo aliyotoa Rais Magufuli, ambayo alidai ipo ndani ya YouTube, alimnukuu Rais akiyatamka maneno yafuatayo "Katika mapambano ya kijeshi, huwa wana kawaida ya kumwua, askari yeyote ambaye anawasiliti katika mapambano yao, vile vile katika vita ya kiuchumi ambayo nchi yetu inapigana hivi sasa, hatuwezi kuruhusu ku-survive kwa mtu mmoja, ambaye imebainika amekuwa akiwasiliana na mwanasheria wa kampuni hiyo ya madini, Deo Mwanyika, ili kumwibia taarifa mbalimbali nyeti, katika lengo lao wakishirikana na mabeberu kutoka nje ya nchi, katika kutuhujumu malipo yetu ya madini, huyo mtu hastahili kabisa ku-survive" mwisho wa kunukuu.
Tunajua kuwa katika tukio hilo la kupigwa kwake risasi mwaka 2017, Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limekuwa likutaaminisha kuwa uchunguzi wa tukio hilo unakwamishwa na Tundu Lissu, muhanga mkubwa wa tukio hilo, pamoja na Dereva wake, ambao wote walikuwa wameenda nchi za nje kwa matibabu.
Hivi sasa Tundu Lissu amesharudi nchini na amewapa "hints" ya kilichompata siku ile ya kutisha sana, ambapo "watu wasiojulikana" walimpiga risasi mfululizo 16 mwlini mwake katika jaribio la kutaka kumwua na ameeleza mwenyewe nini kilimtokea siku ile, ambapo Jeshi letu la Polisi, limekuwa likidai kuwa limekwamishwa kuendelea na uchunguzi wake, kutokana na kukosekana ushahidi huo wa Tundu Lissu
Kwa hiyo nadhani Jeshi la Polisi lingeanza kufanyia uchunguzi wa tukio lile sasa, kwa "hints" alizozitoa yeye mwenyewe muathirika wa tukio lile Tundu Lissu.
Hahhaha... Yeye ndio kawaambia watu kwamba Magufuli alimpiga risasi baada ya kuwa anasaliti nchi
Msaliti yeyote kifo ni halali yake. Sio TZ tu, nchi yoyote ukizingua unawaishwa. Ila Lisu alipigwa na mabeberu.muda Wa kampeni bado, ukifika atasema na kunadi Sera zao, kwa sasahivi fahamuni muuaji ni Nani!
Hakika kuanza sasa sitamuamini hata kidogo kwa lolote atakalosema Jiwe.......Nyie mataahira huwa bado tu mnamuamini huyo Meko?
Huyo Deo Mwanyika ambaye alisemwa kutoa taarifa kwa Lissu na baadae kushtakiwa kwa makosa zaidi ya tisini yakiwemo ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha na baadae kuachiwa ka baada ya kulipa approximately 1.5b after plea burgain, jana kapitishwa kugombea ubunge huko Njombe kwa tiketi ya ccm.