Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

U
 
Mabeberu ndio waliong'oa CCtv camera na kuondoa walinzi eneo la tukio?
Ninyi kutwa kuchwa na mawio si mnasema hao jamaa hawashindwi kitu? Mbona sana kama unadharau uwezo wa 'mabeberu! ?
Ha ha haaa! Hamfurukuti ...this time. Ha ha haaa!
 
Acha uzwazwa, waliotia hasara nchi unawasamehe, halafu anaetetea maslahi ya nchi unamuadhibu, hivi nyie mnao muabudu jiwe akili zenu ni matope?
 
Kwahiyo T. Lisu amekiri hadharani kuwa yeye ndio msaliti wa nchi hii? Au nimeelewa vibaya.




MAGUFULI4LIFE.

Suppose uwe hujàelewa vibaya, yaani uwe umeelewa kwa usahihi kabisa....

Na suppose kuwa, Tundu Lissu ni msaliti wa nchi....

MASWALI HAYA NI MUHIMU SANA:

å Rais Magufuli anapata wapi uhalali wa kuamuru RAIA wake auwawe kinyume cha sheria kwa tuhuma za juu juu tu za eti "msaliti wa nchi???"

å Sheria zetu za nchi zinasemaje kuhusu hiki "the so called" - USALITI WA NCHI? Je, zinasema Rais ataamuru na kutuma kundi la majambazi akiwa amewapa na pesa na bunduki kumuua huyo mtu ambaye kwa vigezo vyake Rais amempa jina la "msaliti wa nchi??"

NI HIVI NDUGU YANGU;

• Kama yeye mwenyewe Rais Magufuli atajitokeza na kujitetea kwa hoja hii, basi atakuwa "mjinga" sana na kamwe hawezi kuchomoka kuepuka kifungo cha maisha gerezani....!!

• Na vivyo hivyo, kama wafuasi wake mnamtetea kwa hoja hii ya "kijinga" kabisa, basi hamtamsaidia kumwepusha na adhabu ya "kujaribu kuua kwa kukusudia" kamwe....!!

Kuwa Rais wa nchi ama kuwa na kinga ya "kutoshitakiwa" siyo ishu. Ukiua na wewe lazima uuwawe tu. Remember, KARMA IS A BITCH...!

USHAURI:

Magufuli ajitokeze hadharani na aweke sawa kauli yake.....

Ajitokeze na aseme, kauli yangu hiyo ilikuwa "just by coincidence", kwamba, nilisem vile na ikatokea siku hiyo hiyo niliyotamka Tundu Lissu akashambuliwa.....!!

Ila ukweli ni huu: kuwa, kauli yangu haikuwa ikim - refer Tundu Lissu kabisa. Na sikutoa amri yoyote auwawe....

Atoke sasa hadharani aseme hivyo japo ni hakika kuwa hakuna mtu timamu kiakili atamwelewa na kumwamini....

Else, asidhani kuwa MOYO WA DHAMBI YA UUAJI alionao HAUTAHUKUMIWA....

KINGA YA URAIS ya kutoshitakiwa haitamsadia. Natural justice haizuiwi na "kinga ya Rais kutoshitakiwa". Itapenya tu na lazima kila mtu alipie matendo ya dhambi zake....!!
 
Watu wenye akili kama za kuku ndo wanaambiwa taratibu hazikufuatwa na wanakubali na hata wanadiriki kuandika ujinga huo mtandaoni. Lakini wenye akili tunajua huo ni uongo ulio wazi kabisa. Kwani nani hajui kuwa Samwel Sitta alijipeleka mwenyewe kutibiwa huko Uulaya hadi aliposhindwa kumudu gharama gharama ndo akaomba serikali imsaidie ikafanya hivyo? Hakuwa na reference ya Muhimbili kama watu wanaokaririshwa wanavyodai. Kibaya zaidi huyu alikuwa ameshastaafu Uspika. Msituletee pumba zenu.
 
Rubbish, waliosaini mikataba yeye jiwe akiwemo ndani ya serikali, hakuwachukulia hatuayoyote, na alichosema lissu in kuwa tutashtakiwa, na kweli tunashtakiwa, na kusema ukweli lini no usaliti? Nyinyi wanafiku wakubwa wapenda madaraka ndio mlipiga majofi na kuwazomea wabunge waliokua wanapinga hii mikataba Leo mnajiita wazalendo!
 
Mkuu, ukiacha hii nimeona comments zako huko juu pia, nahisi una tatizo la comprehension. Maana unapojibu hoja, mtu anaweza akahisi umemquote kimakosa.

Jifunze kusoma ili uelewe usisome ili ujibu.
 

Mimi sijui lakini yeye Lissu ndio anatuambia kuwa yeye ndio alikuwa msaliti wa nchi yetu kwa mabeberu alikuwa ana tuuza!
 
Sijaelewa, kwahiyo anaomba kuchaguliwa sababu alipigwa risasi? Yeye ni wakwanza kupigwa risasi? Tumeshuhudia hadi askari wakipigwa risasi sembuse yeye? Atupe sera ataifanyia nn TZ sio blah blah.
muda Wa kampeni bado, ukifika atasema na kunadi Sera zao, kwa sasahivi fahamuni muuaji ni Nani!
 
Kisha tunamuona muuaji akipiga magoti madhabahuni kwa unyenyekevu fake. Mungu anadhihakiwa sana na wanasiasa wenye roho za kishetani

Kwani Lissu ana maanisha yeye ndio alikuwa msaliti na anadokoa siri zetu na kuziuza kwa mabeberu? Kwa hiyo Lisu kakubali alikuwa ana tusaliti?
 
Hivyo vituko utavipata Tanzania pekee!
 

Mkuu wewe unaniuliza mimi? Wewe una hakika gani kama msaliti aliyekuwa ana zungumziwa ni yeye? Naomba umuulize Lissu ana maanisha ni yeye alikuwa anaisaliti nchi yetu kwa mabeberu?
 
Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Ni Yesu sio Mungu, au ulimsikia vibaya Kangi Lugola! Ila pia inasemekana Yesu ni Mungu kwa upande mwingine uko sahihi.
 
Kama movie hivi
 
Hahhaha... Yeye ndio kawaambia watu kwamba Magufuli alimpiga risasi baada ya kuwa anasaliti nchi

Hukumu ya tuhuma ya "usaliti wa nchi" wa kubumba usiyo na uthibitisho kutoka kwa raia wa nchi unayoingoza ni kumpiga risasi kwa kutumia majambazi yaliyolipwa na kukingiwa kifua na serikali?

Kwa kutoa adhabu ya namna hiyo isiyojengwa ktk msingi wa kisheria, moja kwa moja inathibitisha kuwa hakuna kosa la "usaliti wa nchi" lililotendwa na yoyote....!!

Whether you like it or not, Magufuli si Rais. Huyu ni jambazi tu anayetumia mamlaka na nguvu ya "Urais" kulinda maslahi yake na majambazi menzie huko CCM....

Aliamua kutumia mamlaka yake ya Urais kumuua Lissu ili asiwe kikwazo cha wao kuendeleza ujambazi wao....!!

Tusidanganyane hapa. Watu tuna akili bwana. Tunaona na kupima kila lifanyikalo. Hatuwezi kuburuzwa na kudanganywa na wajinga wachache wanaodhani wao ni miungu fulani wenye nguvu fulani....
 
Mi nadhani hata kampeni zikianza mgombea wa ccm asije kujishughulisha kujibu hoja yoyote ya lissu maana naona kadri lissu anavomtuhumu akakosa response ni kama anazidi kujikuta anaropoka vitu vya ajabu ambavyo baadae vitamfanya akose majibu ya kuwapa watanzani watakapoamua kumuhoji maswali magumu kwenye majukwaa ya kampeni. Alianza kwa kujichanganya kwenye ishu ya corona leo anajichanganya kwenye ishu ya madini. Mwisho wa siku atajianika yeye ni mtu wa namna gani linapokuja suala la maslahi na uzalendo kwa nchi.
Ccm endeleeni kumpotezea msimjibu, ukimya wake utazidi kumfanya ajikaange
 
muda Wa kampeni bado, ukifika atasema na kunadi Sera zao, kwa sasahivi fahamuni muuaji ni Nani!
Msaliti yeyote kifo ni halali yake. Sio TZ tu, nchi yoyote ukizingua unawaishwa. Ila Lisu alipigwa na mabeberu.
 
Hakika kuanza sasa sitamuamini hata kidogo kwa lolote atakalosema Jiwe.......

Hivi pamoja na kumrundikia mashtaka yote yake ya uhujumu uchumi, yasiyopungia 90, Leo hii chama hiko cha CCM ndicho cha kumpa ridhaa Deo Mwanyika kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…