Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Hii hapa
 

Attachments

  • Subpost 2 - Connect dot's utaelewa tu... - NoHateNoFear - SasaBasi - TunduLissu2020 ( 264 X 48...mp4
    1.1 MB
Nchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, kama ingekuwa siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni level ya America, German, China, England, Urusi na mataifa mengi tajiri Duniani na ingekuwa na kura ya veto, CCM imedumaza maendeleo na hasa CCM hii ya sasa iliyo kwenye utandawazi inayotumia pesa nyingi kudidimiza demokrasia, kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani, kudhoofisha chadema kuua upinzani kwa nia ya kurejesha mfumo wa chama kimoja pekee, pesa nyingi inapotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa badala ya maendeleo.
 

..Jpm aliharibu zaidi baada ya tukio kutokea.

..SERIKALI ilipaswa kuchukua jukumu la kumtibu popote pale duniani.

..tungeweza kuomba hata kwa nchi WAHISANI zitusaidie ktk matibabu ya TL.

..badala ya kufanya hivyo Magufuli na Ndugai wakaendelea kumuadhibu TL kwa namna ambayo inaonyesha hawana UTU/UBINADAMU.
 
Basi alipata alichostahili!

Na huyu anazidi kujivua nguo! Anafikiri anaongea ukweli kumbe anajianika jinsi alivyokuwa analisaliti taifa!
Subiri tutamuinesha adhabu yake hapo oktoba.

Huyo mhujumu uchumi mwenyewe waliotuaminisha katuibia hela ambazo kila mtanzania angeweza kununuliwa Noah leo amekuwa mgombewa wenu.Msitufanye wajinga,sisi siyo wajinga.Mlitaka kunyamazisha Lissu ili asiibue uozo wenu.Imekula kwenu,Mungu wa Haki amewaonyesha kwamba huyo hakustahili ku uawa kwa kuwa ALISIMAMIA HAKI NA KWELI.
 
Huyo Deo Mwanyika wa Barrick Gold aliyesema anavujisha siri za nchi kwa Tundu Lissu na kumfunga detention miaka kadhaa na kisha kumwachia I hope sio huyo huyo waliyempitisha leo kuwa mgombea ubunge wa CCM Njombe Mjini.

Ni yeye ???

..Deo Mwanyika anayegombea CCM ndiyo alikuwa mtumishi wa ngazi za juu wa Barrick hapa Tz na baadae Afrika.
 
Kwani wewe hujasikia kuwa mwanachama yeyote wa CCM, kwanza analazimika kuu-surrender, ubongo wake pale Lumumba.......

Ndipo uruhusiwe kuendelea na shughuli za chama 😁 😛
 
Nafikiri unachanganya kati ya Ujasiri na mental disorders!
Bila shaka mwenye mental disorder utakuwa ni wewe thats why umeshindwa kutofautisha kati ya ujasiri na mental disorder wahi milembe faster
 
..Deo Mwanyika anayegombea CCM ndiyo alikuwa mtumishi wa ngazi za juu wa Barrick hapa Tz na baadae Afrika.
JokaKuu
Ndiyo huyo huyo.......

Hebu jaribu ku-imagine namna huyu Magu, anavotugeuza watanzania wote kuwa wapumbavu na malofa

Hivi utawezsje kumteua mtu kwenye nafasi kubwa kama hiyo ya uwakilishi, wakati mtu huyo huyo umemtukana sana na kumuita mwizi na anatumika na mabeberu?
 
Kumbe ni kweli alikuwa anatoa information kwa mabeberu, watu type yake ni cancer kwa taifa na dawa yake ni kuwa multply by zero.
We mbwa unazo taarifa za ununuzi wa ndege kutoka kwa mabeberu...... Zimefungiwa chato hakuna hata mwanaccm moja anayejua ni yy na watoto wa dada tu ndo maana ni siri kali ikihoji unapotezwa fastaaaa......
Kwa Maneno Lissu ni wakala wa mabeberu lkn kwa VITENDO wakara wa mabeberu ni magufuli......
Kesi nyingi tulizoshitakiwa kwa kuvunja mikataba kiholela tunashindwa inasemekana Magu alifanya makusudi ili mabeberu wakishinda naye anamgawo wake........

Hii nchi ni kubwa na ina siri mbaya zaidi ya ujuavyo....... Hapo nimekuibiwa ili kukutoa matongotongo upate mwanga na uanze kuelewa ccm maana yake nini
 
Bado anatafuta kura za huruma?
kibaraka wa mabeberu hapewi nchi na watanzania, hata asimulie mwanzo mwisho wa tukio lake mpaka anarudi.
 
Lisu Ni msaliti baada ya serikali kuona mkataba una kasoro (Japo serikali ndio iliyoingia mkataba na kutaka kuuvunja) mabeberu walimpa fedha lisu na ndio akawa wakili wao na kuanza kututisha kuwa haturuhusi kuvunja mkataba na tukiuvunja tutashitakiwa MIGA na tutalipa milioni ya dollar Cha ajabu tulimpuuza na tukavunja mkataba tukawapa mkataba tunaotaka sisi(sio wa lisu na mabeberu) na tukalipwa sisi mamilioni ya dollar,lisu Ni msaliti na ni wakala wa mabeberu
 
Ndungai alitibiwa india kwa bilion 12 ni utaratibu gani ulitumika kumlipia gharama kubwa hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…