Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Watawaonesha kwenye ballot box vilaza wa Lumumba nyie.Hapo hapo
Tundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....mtu anaandika na kujijibu mwenyewe, mnatekenyana na kucheka wenyewe.Lissu ameshamchanganya Magufuli; kwasasa anaendelea kufuta alikopita Magufuli.
Ki ukweli upinzani haujawahi kushinda, kinachotokea ni kuhakikisha margin inakuwa kubwa kati ya Ccm na upinzani. (Pride)Ccm ingekuwa inategemea sanduku la kura saivi ingesha sahaulika kitambo sana
Hivi Lissu anafikiri anaweza kuwalaghai waislamu kwa kuvaa kanzu na kofia kila Ijumaa? Nafikiri Lissu hajui imani ya uislamu! Hata, figisu figisu za mabeberu wameshindwa kujua imani ya usilamu ikoje, sasa huyu Lissu anaona anaweza kuwahadaa simply kwa kuvaa kanzu na balaghshia kila ijumaa! Uislamu siyo maigizo hata kidogo - alijue hilo na asije akajikosesha kura zao kwa kukebehi dini yao.
Mbona sijamuona akivaa kama singasinga!
Wepi hao bodaboda waliolipwa lakini baada ya kumfikisha tu uwanja wa mkutano hao wakaondoka zao wakamwacha na mkutano wake.Watawaonesha kwenye ballot box vilaza wa Lumumba nyie
Polee sana! Naona kimbunga cha Lissu kimekubeba leoWetu hai bodaboda waliolipwa lakini baada ya kumfikisha tu uwanja wa mkutano hao wakaondoka zao wakamwacha na mkutano wake
Mweh, ukute ni ghetto la mwanaume. So sad!
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja th kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia Chukua picha zote za uzinduzi wa Chadema na za CCM utaona hilo tofauti wazi bila chenga
Chuka soda hapo dukani nakuja kulipiaChadema hufurahia picha za mikutano. CCM hufurahia kura za sandukuni.
Ndiyo tofauti zao
Hiyo picha ina makundi matatu ya watu. Kundi lililomtega mgongo, kundi linalomwangalia na kundi la watu waliokaa na vipaza sauti mbele yao. Du, kweli nyomi hiyo.Hahahaha mavi yanakutokaView attachment 1566770
ππHii itakua sebule ya Yericko Nyerere!
π π ...#NiYeye2020 twende na LissuWangari Maathai nakuona hapo kwa picha na gauni lako kitenge chekundu
Aisee lete na ka clip ili tulale vizuri.Tundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
Wewe ndio unajifariji.Hongeleni kwa kujifariji, huo mkutano wa LIsu unalingana na wa Mbunge Lema sasa hapo ndo kufuta CCM?