Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

wenzake wanatangaza sera zao yeye kutwa analalamika kwenye kampeni akishindwa ataibebesha lawama Tume wakati hana hoja za kuwashawishi wapiga kura wamchague.

Kama vp na yeye atafute wanafunzi wake awapeleke kwenye mikutano yake, lakni ajue hata hao wanafunzi wanasikiliza Sera sio matusi na kuikejeli Tume
 
Unajua Hawa awajui hyo time wanayoipigia kelele ipo kisheria ,pia wanadhani time inadeal na pumba zinazowekwa kwenye mitandao ya kihamii.Tume yaenda na utaratibu na aingiliwi na matakwa ya kibwege kutoka ktk kundi la mtu yeyote
 
Mkibanwa mnaenda kutafuta booster dubei na ubelgiji. Fuse mbovu kabisa!
 
Umeshawasiliana na Tume kama hakuna malalamiko. Mwaka huu jua la utosi sijui kama mnaliona. Jamaa anatumia gari za serikali kawa kinyonga kuzibadilisha rangi tu.
Weweeee duh hivi CCM kweli ya kukosa magari. Lakini hata akitumia za Serikali yeye bado ni Rais kwa Mujibu wa Katiba hadi pale Rais mpya atakapo apa. Hivyo anahaki ya kutumia Kila kitu. Mwisho mtasema kwanini analala au kufanya kazi Ikulu. Hahaaaa.
 

 
Tundu Lissu amalize tu uchaguzi aende mahakamani akajibu kesi zake, msela ni mfungwa mtarajiwa. Nimesema mfungwa naomba mninukuu vizuri, sio Rais.
 
Kwa wenye UFINYU wa akili tu kama wewe.

Tundu Lissu amalize tu uchaguzi aende mahakamani akajibu kesi zake, msela ni mfungwa mtarajiwa. Nimesema mfungwa naomba mninukuu vizuri, sio Rais.
 
Bila kuruka ruka hapo Wananchi hawatoi michango dadeeeek... Watu hadi wapate show![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe kwani hujui kuwa uchaguzi huu wa 2020 ni mpambano kati ya MAGUFULI/CCM, NEC, POLISI, TISS vs TUNDU LISSU/CHADEMA?

Unadhani Dr Mahera alimlenga nani? Prof Lipumba? Hashimu Rungwe? Membe?

Tumia akili yako vyema kufikiria..
Hahahahha spana spana nimewaza tu jamaa anavyotumia akili zake kulenga matundu ya uchafu.
 
Lofa ni Lofa tu!
Walau mngekuwa na hoja zenye kueleweka!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Kamwambie mzee wako hakubaliki na watanzania hawamtaki. Mwaka huu CCM mtashangazwa na watanzania wajinga mliozoea kuwaibia kura zao na kujitangaza kwasababu Tume inateuliwa na mgombea wenu. Sasa basi!
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…