Hiyo haki sasa kutendeka. Chadema haishindani na Ccm tena bali na doraNaunga mkono hoja kutokana na ninachokiona mtaani. Huwa sichangii neno ila naobserve kwa kusikia na kulinganisha wengi wanasemaje kwa utawala uliopo. 2025 kama kweli itatendeka haki basi itakuwa aibu kwa chama X. Ukijua kuliteka jukwaa kwa kauli thabiti wakati wa kampeni unazo % fulani za kura achilia mbali background yako. Ukiongea speech nzima unashangiliwa na kikundi cha hamasa tu basi ujue kuna tatzo mahala.
Hadi amalize hela alizolipwa ndio atarudi.Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.
Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.
Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.
Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.
Lakini yuko mwenye mamlaka!!SSH hana mpinzani kweli ila Samia Suluhu ana Wapinzani mpaka kwenye Familia yake
Samia Suluhu hana mpinzani come 2025. Mungu amjalie afya tu.
Tundu Lisu alipata fursa 2020 akaipoteza
Chadema haitoi fursa mara mbili
2025 ni zamu ya J J Mnyika
Lissu ni mzuri sn tatizo naye ahadi zake za kurudi zitamcost maana kila saa narudi narudi harudi mwisho watu watamsahau, namshauri arudi apambane na huu utawala dhalimu mapema
Muulize Dr Slaa hapo hapo ufipa st
Ungejua kuwa mabakamabaka ya sasa sio ya Venance yule wa Masanza kona ya Magu bali ya kizazi kipya basi jidanganyeni yale ya 2020 mtajua hamjui.Mara moja na unashinda
Ni wanetu!Ungejua kuwa mabakamabaka ya sasa sio ya Venance yule wa Masanza kona ya Magu bali ya kizazi kipya basi jidanganyeni yale ya 2020 mtajua hamjui.
Ndio uzuri wa Chadema mnashangilia nyomi badala ya Ushindi
Sikufahamu kuwa nawe unapaswa kuingizwa katika list ya watu wapuuzi. Huyo ni kiongozi wa watu tena wenye akili wewe unaropoka kuwa kalaaniwa? Kalaaniwa na mama yako?Huyo ameshalaaniwa kama Bosi wake Kenyata hawezi shinda chochote, popote sana sana asubiri tu ghadhabu na adhabu kutoka kwa Mungu, isitoshe hana uwezo wa hata kujaribu tu kuwa against Samia, sana sana ataishia kuwadanganya na kuwatapeli kama alivyozoea ili kubakia relevant kwa wajinga, huyo jamaa ni con man!
Exactly [emoji817] %We ni vuvuzela
Lissu VS Samia, Samia anashinda asubuhi tu, lissu chizi yule hawezi shinda.Angalau wakimsimamisha Msigwa hekima anazo anaweza kuleta upinzani.Chadema waachane na wanaharakati aina ya lissu watapotea,lissu hafai mwacheni aendelee na kazi take ya uropokaji ameizoea na wala mbowe mchaga asiwe na tamaa ya kugombea ingawa ni haki take atagaragzwa mapema mno.Zitto,mbowe,lipumba na mbatia hawana lolote watulie kabisa ingawa wananchi tumeichoka CCM na rais wake,wasithubutu watakula za uso vibaya mno.
Al-Beshi kasema.
Please nadhani huyo kumjibu ni kumpa promo katika league yake ya kuwania ubingwa wa upuuzi.Hata nyie UWT mtaishia viti maalumu
Kwa kauli hizi mimi huwa siwezi tena kuelimisha watu kama hawa, lissu chizi yule
Hapana Kusema lazima atoke ccm hilo nakataa, lissu akija hata kama mikutano ya hadhara imekatazwa yeye atafanya. Atatumia Katiba ya nchi kufanya mikutano ya hadharaLissu akirud mwaka huu kwanza ana kazi ya kuurudisha upinzani Tanzania. Ikumbukwe mikutano ya Hadhara bado haijaruhusiwa ila naamini Mama ataruhusu kabla ya huu mwaka kwisha.
Wa kumng'oa MAMA kwenye urais 2025 atatoka CCM kwenyewe na sio nje ya hapo.