Tundu Lissu akirudi mwaka huu kuanza harakati za kisiasa 2025, anashinda

Tundu Lissu akirudi mwaka huu kuanza harakati za kisiasa 2025, anashinda

Naunga mkono hoja kutokana na ninachokiona mtaani. Huwa sichangii neno ila naobserve kwa kusikia na kulinganisha wengi wanasemaje kwa utawala uliopo. 2025 kama kweli itatendeka haki basi itakuwa aibu kwa chama X. Ukijua kuliteka jukwaa kwa kauli thabiti wakati wa kampeni unazo % fulani za kura achilia mbali background yako. Ukiongea speech nzima unashangiliwa na kikundi cha hamasa tu basi ujue kuna tatzo mahala.
Hiyo haki sasa kutendeka. Chadema haishindani na Ccm tena bali na dora
 
Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.

Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.

Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.

Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.

Hadi amalize hela alizolipwa ndio atarudi.
 
Hivi mtu na akili zake timamu anaweza kweli kuchagua mtu ambaye #dishlimetilt kuwa rais wake? Huyo anatakiwa akapimwe akili haraka sana.
 
Lissu VS Samia, Samia anashinda asubuhi tu, lissu chizi yule hawezi shinda.Angalau wakimsimamisha Msigwa hekima anazo anaweza kuleta upinzani.Chadema waachane na wanaharakati aina ya lissu watapotea,lissu hafai mwacheni aendelee na kazi take ya uropokaji ameizoea na wala mbowe mchaga asiwe na tamaa ya kugombea ingawa ni haki take atagaragzwa mapema mno.Zitto,mbowe,lipumba na mbatia hawana lolote watulie kabisa ingawa wananchi tumeichoka CCM na rais wake,wasithubutu watakula za uso vibaya mno.

Al-Beshi kasema.
 
Samia Suluhu hana mpinzani come 2025. Mungu amjalie afya tu.

Magufuli na miundombinu yake yote na kupiga marufuku mikutano kwa miaka mitano alipata upinzani mpaka kuzima internet nchi nzima. Halafu kaishia kuengua wagombea wa Chadema karibia nusu yao na kuhakikisha waliobakia hawaingii bungeni.
 
Unaumia Sana. Lissu amebarikiwa ndio maana alipona kifo na walipojaribu kumuibia kura, wakafa Bill kufaidi wizi wao.
 
Huyo ameshalaaniwa kama Bosi wake Kenyata hawezi shinda chochote, popote sana sana asubiri tu ghadhabu na adhabu kutoka kwa Mungu, isitoshe hana uwezo wa hata kujaribu tu kuwa against Samia, sana sana ataishia kuwadanganya na kuwatapeli kama alivyozoea ili kubakia relevant kwa wajinga, huyo jamaa ni con man!
Sikufahamu kuwa nawe unapaswa kuingizwa katika list ya watu wapuuzi. Huyo ni kiongozi wa watu tena wenye akili wewe unaropoka kuwa kalaaniwa? Kalaaniwa na mama yako?
 
Lissu VS Samia, Samia anashinda asubuhi tu, lissu chizi yule hawezi shinda.Angalau wakimsimamisha Msigwa hekima anazo anaweza kuleta upinzani.Chadema waachane na wanaharakati aina ya lissu watapotea,lissu hafai mwacheni aendelee na kazi take ya uropokaji ameizoea na wala mbowe mchaga asiwe na tamaa ya kugombea ingawa ni haki take atagaragzwa mapema mno.Zitto,mbowe,lipumba na mbatia hawana lolote watulie kabisa ingawa wananchi tumeichoka CCM na rais wake,wasithubutu watakula za uso vibaya mno.

Al-Beshi kasema.

Acha vitisho. Lissu anafaa . Kama Magufuli mwenyewe ilibidi aharibu uchaguzi kulinda heshima sembuse huyu Samiah.
 
Lissu akirud mwaka huu kwanza ana kazi ya kuurudisha upinzani Tanzania. Ikumbukwe mikutano ya Hadhara bado haijaruhusiwa ila naamini Mama ataruhusu kabla ya huu mwaka kwisha.

Wa kumng'oa MAMA kwenye urais 2025 atatoka CCM kwenyewe na sio nje ya hapo.
 
Lissu akirud mwaka huu kwanza ana kazi ya kuurudisha upinzani Tanzania. Ikumbukwe mikutano ya Hadhara bado haijaruhusiwa ila naamini Mama ataruhusu kabla ya huu mwaka kwisha.

Wa kumng'oa MAMA kwenye urais 2025 atatoka CCM kwenyewe na sio nje ya hapo.
Hapana Kusema lazima atoke ccm hilo nakataa, lissu akija hata kama mikutano ya hadhara imekatazwa yeye atafanya. Atatumia Katiba ya nchi kufanya mikutano ya hadhara
 
Back
Top Bottom