stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Kwahiyo yule jogoo aliletewa ikulu
imagine chama kizima wote mmeona cha kuongelea ni jogoo, daaah! mngejua mko kama machizi flan ivi ambao mmetelekezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo yule jogoo aliletewa ikulu
MUNAJILAUMU MPAKA LEO KWANINI RISASI ZOTE ZILE MULIZO MMIMINIA LISU HAJAFAimagine chama kizima wote mmeona cha kuongelea ni jogoo, daaah! mngejua mko kama machizi flan ivi ambao mmetelekezwa
Nimeipenda hii.uchumi wakati bila ajiraView attachment 1541007
View attachment 1541009View attachment 1541010
Huu ndio ukweli wa dunia ya leo , si kazi rahisi kuua upinzani kama baadhi ya viongozi walivyowaongopea wenzao .
Picha ya kwanza hapo juu ni Mgombea Urais wa Wananchi wa Tanzania akiomba udhamini Iringa Mjini leo hii , picha mbili za chini ni za jana jioni alipokuwa anasubiriwa na wananchi bila mafanikio baada ya kuchelewa kufika
View attachment 1541020
Bi mdashi wako nae atampigiaKwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaa.
Napenda nikujibu hilo swali lako lakini kwa kuwa ni wewe umeleta bandiko la kusifia umati, unalo jibu kama Mgombea huyo anatafuta wadhamini au yuko kwenye kampeni?
Itoshe kukumbusha kuwa waliojitokeza kugombea ni wengi, ngazi zote, kama kila mgombea atatafuta wadhamini kwa njia hiyo, hakika amani ingekuwa mashakani.
Kama lile taahira la kijani linavyozungukwa?Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Jamani kampeni hazijaanza! Zikianza itakuwaje sasa? Si watu watakufa?View attachment 1541007
View attachment 1541009View attachment 1541010
Huu ndio ukweli wa dunia ya leo , si kazi rahisi kuua upinzani kama baadhi ya viongozi walivyowaongopea wenzao .
Picha ya kwanza hapo juu ni Mgombea Urais wa Wananchi wa Tanzania akiomba udhamini Iringa Mjini leo hii , picha mbili za chini ni za jana jioni alipokuwa anasubiriwa na wananchi bila mafanikio baada ya kuchelewa kufika
View attachment 1541020
Kitu kinachowaumiza vibaraka wa lumumba ni kua why lissu anapata mapokezi makubwa hv na wkt walinunua wabunge wengi cdm kuunga juhudi
Nasikia haya pia yanamhusu yule self declared kichaa!!!! LoL🤣🤣Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
nan hao sasaMUNAJILAUMU MPAKA LEO KWANINI RISASI ZOTE ZILE MULIZO MMIMINIA LISU HAJAFA
Kila zama ina ujinga wake!Kwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaa.