KESHA YA WANA IRINGA JANA 17 AGOSTI 2020 AMBAPO TUNDU LISSU ALICHELEWA KUFIKA KUTOKANA NA RATIBA YA MOROGORO
Tundu Lissu akisubiriwa jana 17 Agosti 2020
Viongozi na wakazi wa Iringa waelezea walivyomsubiri kwa hamu jana Tundu Lissu huku watu akijitayarisha ili aweze kupata wadhamini 200 walio na kadi ya kupigia kura. Wadhamini ni mtanzania yeyote bila kujali kama ni mwanachama wa chama cha siasa au la.
Tundu Lissu akisubiriwa jana 17 Agosti 2020
Viongozi na wakazi wa Iringa waelezea walivyomsubiri kwa hamu jana Tundu Lissu huku watu akijitayarisha ili aweze kupata wadhamini 200 walio na kadi ya kupigia kura. Wadhamini ni mtanzania yeyote bila kujali kama ni mwanachama wa chama cha siasa au la.