Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alhamis BAJAJI inaanza kula VICHWA 😀 😀 😀 😀 😀.
Maneno ya mkosaji!Shida hawana kadi za mpiga kura
Lisu ana uwezo kuliko hata huyo kupata wako wa lumba, na kwa taarifa yako huyo kupata wako aliwahi kuugua akili kipindi yuko shule, habari ndiyo hiyo sasa.Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Sasa huku ni kutafuta wazamini au ni kufanya mikutano ya hazara mi mbona sielewi elewi
Kichaa ni wewe usiyejitambua! Peleka utumbo wako huko....Kama umetumwa na Polepole mwambie imekula kwake leo. Hakuna atakayekusikiliza.Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Ukute mtu anajiita yeye ni kichaa tena anawazimu....! Watu wazima eti wanamsikiliza!Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Ni kweli Watanzania siyo wajinga, ila wewe ni mjinga!Kwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaaa.
Kampeni haijaanza bado,tuliza gluteus Kwanza usubiri muda muafaka.Kwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaaa.
Well Noted MKUUNashauri Lissu aongezewe ulinzi.
UCHUMI WA KATI BILA AJIRA NI SIFA ZA KIJINGA.View attachment 1541007
View attachment 1541009View attachment 1541010
Huu ndio ukweli wa dunia ya leo , si kazi rahisi kuua upinzani kama baadhi ya viongozi walivyowaongopea wenzao .
Picha ya kwanza hapo juu ni Mgombea Urais wa Wananchi wa Tanzania akiomba udhamini Iringa Mjini leo hii , picha mbili za chini ni za jana jioni alipokuwa anasubiriwa na wananchi bila mafanikio baada ya kuchelewa kufika
View attachment 1541020