Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye ukapimwe akili,usiye elewa kueleza wasifu wa mtu wewe unaita matusi. Haya yaeleze hayo matusi aliyotukana Lissu kwenye bunge la Katiba. Lissu kaeleza mazuri ya Nyerere na mapungufu yake pia kwani hakuna binadamu aliye mkamilifu.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Sijakataa hayo. Nahakuna pahala nimesema alienda kumfurahisha mtu.Hakwenda Makerere kumfurahisha mtu, ila kutoa mhadhara kulingana na mada waliyoiandaa
Hakuna kitu kinakera kama CCM kujifanya mnapenda sana Nyerere wakati miiko yake hamfuati!! Mnapenda kumsifia mdomoni ila matendo yenu ni kinyume kabisa.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hapa nadhani tatzo ni english aliyotumia. Angeongea kiswahili ungemuelewa zaidi.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Wakupimwa akili ni wewe sio lissu.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Ni kwamba alivurugwa. Karibia mwishoni alivyotajwa hasimu wake tu, unaona mtu body language yake imebadilika, na majibu yake yakabadilika. Akaanza kuruka ruka.Tundu Lissu mbona ameongea vizuri Legacy ya Mwalimu, mazuri yake na mwishoni aliongelea madhaifu yake
Hukumsikiliza Lissu au una tatizo la kuelewa lugha? Kampala katoa critique ya Nyerere kama anavyoielezea siku zote akiwa hapa Tanzania. Kama kwako critique maana yake ni kashfa, tafuta mwalimu akueleze maana yake.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Kwa sababu Wakatoliki wenyewe wana njama mbovu za kumvika utakatifu.Shida waswahili hua hamtaki mwalimu asemwe kwa mambo mabaya aliyo fanya mnasahau kwamba mwalimu alikua ni binadamu na alikua anakosea, na moja ya kosa kubwa kabisa alilofanya ni kutuachia muungano wa kipumbavu kabisa kuwahi kutokea duniani na ndio maana yeye mwenyewe akaandika kitabu "tujisahihishe"
Hivi wewe 🐕 ulielewa ile presentation yake pale Makerere au lugha ilikupiga kikumbo?Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Ukimkosoa wewe ni kwisha.
Sasa utaweza kusema, 'oh kule hawateki watu au hawawekwi gerezani' na mengineyo kama hayo. Sawa ila...
Utatengenezewa zengwe na watakutengeneza ipasavyo yaani wanakuua tarativu-killing you softly-na bora uende gerezani yaishe, walakini ile psychological warfare watakayo kufanyia hata poo huwezi kuomba.
Unaenda kujinyamazia na kufa taratibu yani utanyong'onyea tu whatever pension uliyobaki nayo ndio itakayo kulisha, zaidi ya hapo, wewe ni mfu tu.
Ushahidi? fuatilia wote waliomkosea huko nyuma.
Sio majaji, maseneta, ma jenerali na hata magavana. Wametupwa chini
UKiingia kwenye media za MAGA movement ndio utaona na kusikia, Fulani amemkosea na kumtukana, ila kwasababu watanzania wengi hawajui hayo, wanadhani huko hayatokei.
Amemsifia kwa kitendo cha kukubali kuwa na Katiba ambayo inaweka ukomo kwa muda wa uraisi (katiba ya kwanza kwa Afrika kufanya hivyo). Pia kakosoa hatua za kumtangaza Nyerere kuwa mtakatifu akisema kuna maovu mengi hayasemwi. Zaidi kaeleza uhusika wa Mwalimu katika kuingilia masuala ya ndani ya Uganda kwa kuweka na kutoa maraisi kama inavyoelezwa katika kitabu kilichoandikwa na Kanyeihamba.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Itabidi sijui urudie darasa pengine kama umesoma na kama hujasoma basi wewe ni wakuhurumiwa kwa sababu umeshindwa kutofautisha kati ya kukosoa na kutukana.Nakumbuka Lissu wakati akichangia hoja katika Bunge la Katiba alisema mwalimu hakuwa Malaika na kwamba hakukosea na akasema hata yeye mwenyewe anaamini hivyo Sasa hizi tafsiri zako ni za wapi?Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hayo ya kutekana umesma wewe😂😂😂..Duh!
..wameishaanza kutekana, kutesana, na kuuana, kwa mambo ya kisiasa kama huku Bongo?
..kazi kweli kweli!!
Watanzania bado wanashauku na yale mafaili aliyosema anatembea nayo."Mwalimu Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu"
(Lissu 13/04/2014)
Haujamsikiliza TAL,itakua umehadithiwa .Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Lugha ya Malkia imekupitia kando sana.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi