Tundu Lissu akiwa Uganda amemsifia Mwalimu Nyerere lakini ni yeye ndiye aliyemtukana kwenye Bunge la Katiba

Tundu Lissu akiwa Uganda amemsifia Mwalimu Nyerere lakini ni yeye ndiye aliyemtukana kwenye Bunge la Katiba

Hapa wewe ndio unatakiwa kupimwa akili.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Wewe ndiye ukapimwe akili,usiye elewa kueleza wasifu wa mtu wewe unaita matusi. Haya yaeleze hayo matusi aliyotukana Lissu kwenye bunge la Katiba. Lissu kaeleza mazuri ya Nyerere na mapungufu yake pia kwani hakuna binadamu aliye mkamilifu.
 
Hakwenda Makerere kumfurahisha mtu, ila kutoa mhadhara kulingana na mada waliyoiandaa
Sijakataa hayo. Nahakuna pahala nimesema alienda kumfurahisha mtu.

Wapo vijana ambao walimshangaa sana na majibu yake, itoshe karibia mengi aliyo yasema kuhusu Mwl. Nyerere ni yale ya kukaririshwa tu.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hakuna kitu kinakera kama CCM kujifanya mnapenda sana Nyerere wakati miiko yake hamfuati!! Mnapenda kumsifia mdomoni ila matendo yenu ni kinyume kabisa.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hapa nadhani tatzo ni english aliyotumia. Angeongea kiswahili ungemuelewa zaidi.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Wakupimwa akili ni wewe sio lissu.
 
...na hii hoja yako ni moja kati ya ushahidi wa udhaifu wa Nyerere. Kujenga taifa lenye watu waoga na wanafiki. Kupinga kiongozi kwao ni matusi. Tuliona wakifanya hivyo kwa Kambona na Abood Jumbe
 
Tundu Lissu mbona ameongea vizuri Legacy ya Mwalimu, mazuri yake na mwishoni aliongelea madhaifu yake
Ni kwamba alivurugwa. Karibia mwishoni alivyotajwa hasimu wake tu, unaona mtu body language yake imebadilika, na majibu yake yakabadilika. Akaanza kuruka ruka.
 
Nyerere Kuna sehemu alikosea pakubwa sana katika Nchi yetu.mfano kutuunganisha na muungano wa kihuni kati ya Zanzibar na Tanganyika pasipo kuzibgatia usawa katika muungano.pia sera yake ya kijana ilikuwa sera ya hovyo kabisa kwenye uchumi wa Nchi yetu yaani ulidumaza na kuwafanya watanzania kuwa na akili finyu kama ilivyo machawa Kwa Sasa.Tundu lisu Yuko sahihi kumkosoa na kumsifia maana Nyerere yote alifanya mazuri na mabaya
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hukumsikiliza Lissu au una tatizo la kuelewa lugha? Kampala katoa critique ya Nyerere kama anavyoielezea siku zote akiwa hapa Tanzania. Kama kwako critique maana yake ni kashfa, tafuta mwalimu akueleze maana yake.

Hukuelewa kabisa Lissu alipoonyesha kuwa Mwalimu alivyogeuza nchi kuwa a totalitarian state yenye imperial presidency? Hayo ndiyo maelezo mazuri unayosema hapa?
 
Shida waswahili hua hamtaki mwalimu asemwe kwa mambo mabaya aliyo fanya mnasahau kwamba mwalimu alikua ni binadamu na alikua anakosea, na moja ya kosa kubwa kabisa alilofanya ni kutuachia muungano wa kipumbavu kabisa kuwahi kutokea duniani na ndio maana yeye mwenyewe akaandika kitabu "tujisahihishe"
Kwa sababu Wakatoliki wenyewe wana njama mbovu za kumvika utakatifu.

Kwa mantiki hiyo, kuna harakati kubwa ya kumsafisha sana Nyerere hadi atakate, kama ambavyo CDM walimsafisha Lowassa na kumtunuku heshima kubwa ya kupeperusha bendera ya urais.

Wanachofanya wanaanza kumsafisha mabaya yake, kisha wanayasahau, halafu wanamsifia kabla ya kumhusudu na kumwabudu.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Hivi wewe 🐕 ulielewa ile presentation yake pale Makerere au lugha ilikupiga kikumbo?
 
Ukimkosoa wewe ni kwisha.

Sasa utaweza kusema, 'oh kule hawateki watu au hawawekwi gerezani' na mengineyo kama hayo. Sawa ila...

Utatengenezewa zengwe na watakutengeneza ipasavyo yaani wanakuua tarativu-killing you softly-na bora uende gerezani yaishe, walakini ile psychological warfare watakayo kufanyia hata poo huwezi kuomba.

Unaenda kujinyamazia na kufa taratibu yani utanyong'onyea tu whatever pension uliyobaki nayo ndio itakayo kulisha, zaidi ya hapo, wewe ni mfu tu.

Ushahidi? fuatilia wote waliomkosea huko nyuma.

Sio majaji, maseneta, ma jenerali na hata magavana. Wametupwa chini

UKiingia kwenye media za MAGA movement ndio utaona na kusikia, Fulani amemkosea na kumtukana, ila kwasababu watanzania wengi hawajui hayo, wanadhani huko hayatokei.

..Duh!

..wameishaanza kutekana, kutesana, na kuuana, kwa mambo ya kisiasa kama huku Bongo?

..kazi kweli kweli!!
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Amemsifia kwa kitendo cha kukubali kuwa na Katiba ambayo inaweka ukomo kwa muda wa uraisi (katiba ya kwanza kwa Afrika kufanya hivyo). Pia kakosoa hatua za kumtangaza Nyerere kuwa mtakatifu akisema kuna maovu mengi hayasemwi. Zaidi kaeleza uhusika wa Mwalimu katika kuingilia masuala ya ndani ya Uganda kwa kuweka na kutoa maraisi kama inavyoelezwa katika kitabu kilichoandikwa na Kanyeihamba.
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Itabidi sijui urudie darasa pengine kama umesoma na kama hujasoma basi wewe ni wakuhurumiwa kwa sababu umeshindwa kutofautisha kati ya kukosoa na kutukana.Nakumbuka Lissu wakati akichangia hoja katika Bunge la Katiba alisema mwalimu hakuwa Malaika na kwamba hakukosea na akasema hata yeye mwenyewe anaamini hivyo Sasa hizi tafsiri zako ni za wapi?
 
..Duh!

..wameishaanza kutekana, kutesana, na kuuana, kwa mambo ya kisiasa kama huku Bongo?

..kazi kweli kweli!!
Hayo ya kutekana umesma wewe😂😂😂
😂
Kuuana wanauna na kutesana , wanatesana saaaaaaan tu

kazi muzito.
 
Waganda wengi wanamuheshimu sana Nyerere na hata huu mchakato wa kuchunguza maisha yake ili awe mwenye heri, kwa kiasi kikubwa umeanzishwa Uganda. Kwa taarifa tu, kumekuwa na uzito fulani huku Tanzania kuhusu huo mchakato maana wana taarifa nyingi za JKN na Catholic huwa haikurupuki kufanya michakato hii.

Mama Nyerere akienda kule Namugongo, Uganda wakati wa sherehe ya Mashahidi wa Uganda, huwa anapokelewa kama rais wa nchi.

Kwa waliomsikiliza Lissu jana, alikuwa anauma na kupulizia kuhusu legacy ya Nyerere. Wale vijana wa chuo kuna mengi walikuwa hawajawahi kusikia, sasa kila geni kwao walikuwa wanashangaa.
 
"Mwalimu Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu"
(Lissu 13/04/2014)
Watanzania bado wanashauku na yale mafaili aliyosema anatembea nayo.

Je, alitudanganya na kusema uongo?
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Haujamsikiliza TAL,itakua umehadithiwa .
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Lugha ya Malkia imekupitia kando sana.
Lissu kamnanga Mwl Nyerere mwanzo mwisho.

Sehemu pekee aliyomsifu ni kukibali kuachia madaraka.
 
Back
Top Bottom